Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yadhamini Mabaharia watoto 10 kuwakilisha Tanzania Mashindano ya Mitumbwi Afrika

2

Meneja wa mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo safari ya  timu ya Taifa ya watoto waendesha mitumbwi inayoelekea nchini Morocco kushiriki mashindanoya wakimbiza mitumbwi mwezi ujao.

Na Mwandishi wetu

 Tigo Tanzania  imetangaza udhamini wake kwa timu ya taifa ya watoto wadogo waendesha mitumbwi, timu ambayo inaundwa na mabaharia watoto 10 waliochaguliwa na shirikisho la mitumbwi midogo ya watoto...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo yadhamini mashindano ya Uvuvi ya wazi Slipway

1

Wasimamizi wa shindano la wazi la uvuvi la Slipway wakipima mmoja kati ya samaki walioshindanishwa kwenye shindano hilo lililodhaminiwa na Tigo jana.

2

Sehemu ya muonekano ambapo mashabiki walikuwa wakisubiria wavuvi kutoka baharini.

4

Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma toka kwa watoa huduma wa Tigo ikiwa ni sehemu mojawapo ya  huduma zilizokuwa zinapatikana kwenye shindano hilo.

7

5

Washindi wa kwanza shindano  la wazi la uvuvi Slipway ambao walijishindia mashine ya Yamaha, kutoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar

4

Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.

3

Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.

6

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.

1

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...

 

10 years ago

GPL

BASATA YAMKABIDHI BENDERA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC KWA AJILI YI KUWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA AFRIKA NCHINI KENYA

Meneja Masoko wa Airtel, Anet Muga. akiongea wakati wa tukio la kumuaga na kumkabithi bendera ya taifa kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika fainali za Afrika za Airtel TraceMusic Stars zitakazofanyika Jumamosi Machi 28, nchini Kenya na kushirikisha nchi 13, katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika kwenye ofisi za BASATA jijini Dar es Salaam jana. pichani katikati ni Mkurugenzi wa Ukuzaji Sanaa na Masoko wa Baraza la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanamitindo Jocktan Makeke kuwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya TDWFS nchini Afrka Kusini

Msanii wa mitindo ya kiafrika kutoka Tanzania JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA ambaye amekuwa tishio katika mitindo ya asili ya mwafrika ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika majukwaa mbalimbali ndani na nje ya nchi , kama unakumbuka mwezi wa saba alituwakilisha vyema Jijini Nairobi na kuonekana mwanamitindo bora sasa.

Msanii huyu ambaye ndio mwanzilishi ya kampuni ya MAKEKE AFRIKA CO.  LTD atapanda tena jukwaani mwezi huu nchini Afrika Kusini kufanya maajabu kwa mara nyingine katika...

 

10 years ago

Michuzi

BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA KWA MWAKA 2014

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mbio za Mitumbwi Kanda ya Ziwa, zijulikanazo kama “Balimi Boat Race” iliyofanyiak Dar es Salaam leo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini tamasha la Mnazi Mkinda

1

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani Ilala,  tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas.

2

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini gulio la Annual Charity Baazar

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari wakati wa gulio lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania lenye lengo kusaidia jamii, Tigo ni wadhamini wa gulio hilo.

Mtoa huduma wa Tigo, Khalid Omary akitoa huduma kwa wateja wa Tigo kwenye gulio lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania lenye lengo kusaidia jamii. Watoa huduma wa Tigo, Joshua Samuel na Judith Alfred wakitoa huduma kwa mteja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini Tamasha la Mnazi Mkinda 2015

10(5)

Wanafunzi wa Shule mbalimbali za msingi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wakiingia kijeshi katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja wakati Tamasha la Mnazi Mkinda.

13(2)

 

Vijana wakitoa heshima ya saluti.

2(98)

Maandamano ya wanafunzi yakitoa salamu jukwaa kuu.

9(7)

Mgeni rasmi Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es Salaam, Kiduma Mageni akikagua gwaride la wanafunzi lililoandaliwa rasmi wakati wa Tamasha la Mnazi Mkinda 2015. 

DSC_6639

Meneja Mawasiliano kutoka Tigo, Bwana John Wanyancha (wa pili kushoto) akijumuika na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini maonyesho ya kazi za mikono za Kitanzania

DSC_2008

Mfanyabiashara wa vifaa vya mapambo ya ndani vyenye asili ya Kitanzania wa duka la Zamani Dhow, Bw. Nordety Cornellius akiwahudumia wateja waliofika bandani kwake wakati wa maonyesho ya bidhaa za mapambo yaliodhaminiwa na kampuni ya Tigo mwishoni mwa wiki.

DSC_2010

DSC_1969

Wateja waliohudhuria maonyesho ya kazi za mikono za Kitanzania wakiangalia bidhaa mbalimbali, maonyesho hayo yaliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kampuni ya Tigo ilikuwa wadhamini.

DSC_2013

DSC_1921

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani