BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA KWA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-11C04shNj3s/VDPq-SNB5iI/AAAAAAAAngw/39-qRw6dMyI/s72-c/unnamed.jpg)
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mbio za Mitumbwi Kanda ya Ziwa, zijulikanazo kama “Balimi Boat Race” iliyofanyiak Dar es Salaam leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-65-9bUWMz4U/VENn4zryjmI/AAAAAAAGr2g/adMvvDcyV4w/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
UZINDUZI WA MASHINDANO YA KUPIGA KASIA KWA UTHAMINI WA BIA YA BALIMI LAGER KANDA YA ZIWA YAFUNGULIWA LEO RASMI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-65-9bUWMz4U/VENn4zryjmI/AAAAAAAGr2g/adMvvDcyV4w/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zgSn0iwsSe8/VENn4cnsYYI/AAAAAAAGr2c/sOjyVVW5EsE/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2KqfNfkfRFU/VENn5oBIBrI/AAAAAAAGr2o/15hbUCawGss/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5ZJLMAVEzgI/VENn9zNntSI/AAAAAAAGr20/63IowNOAAfg/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K-HHP37wy3I/VENn93W8cvI/AAAAAAAGr28/vRTIC1h4YU4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
MichuziBALIMI EXTRA LAGER KUDHAMINI MASHINDANO YA NGOMA ZA ASILI 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s72-c/IMG_0030.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI BAA 10 ZILIZOINGIA FAINALI KATIKA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA MKOA WA MBEYA KWA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s1600/IMG_0030.jpg)
Shindano hili linalofanyika kila mwaka, linafanyika mwaka huu kwa mara ya saba mfululizo na litashirikisha mikoa ya Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar Es Salaam. Tangu lilipoanzishwa mwaka 2008, shindano hili limekuwa na mvuto wa kipekee kwa...
10 years ago
GPLBUJORA MABINGWA BALIMI NGOMA KANDA YA ZIWA 2014
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime (kulia) akimkabidhi kikombe kiongozi wa kikundi cha ngoma cha Bujora mara baada ya kuibuka mabingwa wa Kanda ya Ziwa wa fainali za mashindano ya Ngoma za Asili. Baadhi ya wacheza ngoma wa kikundi cha Bujora wakishangilia baada ya kuibuka mabingwa na kukabidhiwa zawadi ya kikombe pamoja na pesa taslimu shilingi 1,100,000/= Gabriel Ng’osha/GPL KIKUNDI...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s72-c/balim1.jpg)
JJ BUDA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s1600/balim1.jpg)
Na Mwandishi wetu,Mara.
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha JJ Buda kutoka Nyarusurya Mkoani Mara kimeibuka na ubingwa katika fainali za Mkoa za mashindano yambio za mitumbwi chini ya udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager zijulikazo kama “Balimi Boat Race 2014” na hivyo kikundi hicho kuzawadiwa pesa taslimu Shilingi 900,000/= pamoja na kuwakilisha Mkoa wa Kagera kwenye fainali za Kanda zinazotarajiwa kufanyika Desemba 6 mwaka huu jijini Mwanza.
Nafasi ya pili ilichukuliwa na kikundi cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq8xR0teUk-XkEfPaA4FRw4KJpz3xstsbFZdK9Mf7VqBFdGeRjeUfYk8Op0noFq*jPrimowv2JI21z7RngASbe*y/22.jpg?width=650)
NICHORAUS NGOROMA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI UKEREWE
Washindi wa kwanza wa mbio za makasia wa Kisiwa cha ukerewe, kikundi cha Nichoraus Ngoroma wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi mwishoni mwa wiki. Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mery Tesha akisisitiza jambo kwa washindi (hawapo pichani). KIKUNDI cha Nichoraus Ngoroma cha Wanaume wapiga kasia cha Kisiwani…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hvwfYsr9XIg/VFdqbayBWfI/AAAAAAAGvSI/EToIdZx3KgM/s72-c/unnamed1.jpg)
KIKUNDI CHA ELIUD PROSPER MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI KAGERA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvwfYsr9XIg/VFdqbayBWfI/AAAAAAAGvSI/EToIdZx3KgM/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x437eKGA3Cc/VFdqbnJXYKI/AAAAAAAGvSM/5Vo99VpXfHk/s1600/unnamed2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9LRo8ufQmQ0/VFdqi1O5I5I/AAAAAAAGvSY/BOn_AGck0Rs/s1600/unnamed3.jpg)
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha Eliud...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s72-c/unnamedb5.jpg)
KIKUNDI CHA COSTANTINE LUSALAGE MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s1600/unnamedb5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlQTHP9zpeE/VGCJqEV2QbI/AAAAAAAGwWY/RkF3Q2otk78/s1600/unnamedb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Xdd0nvX7w8/VGCJrQSosDI/AAAAAAAGwWw/KXqrG3BzRdA/s1600/unnamedb6.jpg)
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Butiama boat club steals show in Balimi Extra Lager race
Butiama’s Benedictor boat race club won the Mara Regional Balimi Extra Lager boat race championship after beating other 19 clubs at Police beach yesterday.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania