BUJORA MABINGWA BALIMI NGOMA KANDA YA ZIWA 2014
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime (kulia) akimkabidhi kikombe kiongozi wa kikundi cha ngoma cha Bujora mara baada ya kuibuka mabingwa wa Kanda ya Ziwa wa fainali za mashindano ya Ngoma za Asili. Baadhi ya wacheza ngoma wa kikundi cha Bujora wakishangilia baada ya kuibuka mabingwa na kukabidhiwa zawadi ya kikombe pamoja na pesa taslimu shilingi 1,100,000/= Gabriel Ng’osha/GPL KIKUNDI...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-11C04shNj3s/VDPq-SNB5iI/AAAAAAAAngw/39-qRw6dMyI/s72-c/unnamed.jpg)
BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA KWA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-11C04shNj3s/VDPq-SNB5iI/AAAAAAAAngw/39-qRw6dMyI/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jnFYh91s2rA/U-Ix9IW01SI/AAAAAAAF9mc/AcRRxgtPITg/s72-c/1(1).jpg)
Mwanalyaku mabingwa wa Balimi Ngoma Mwanza
Nafasi ya pili ya mashindano hayo ilichukuliwa na Kikundi cha Bujora cha Magu pia ambacho kilizawadiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-65-9bUWMz4U/VENn4zryjmI/AAAAAAAGr2g/adMvvDcyV4w/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
UZINDUZI WA MASHINDANO YA KUPIGA KASIA KWA UTHAMINI WA BIA YA BALIMI LAGER KANDA YA ZIWA YAFUNGULIWA LEO RASMI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-65-9bUWMz4U/VENn4zryjmI/AAAAAAAGr2g/adMvvDcyV4w/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zgSn0iwsSe8/VENn4cnsYYI/AAAAAAAGr2c/sOjyVVW5EsE/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2KqfNfkfRFU/VENn5oBIBrI/AAAAAAAGr2o/15hbUCawGss/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5ZJLMAVEzgI/VENn9zNntSI/AAAAAAAGr20/63IowNOAAfg/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K-HHP37wy3I/VENn93W8cvI/AAAAAAAGr28/vRTIC1h4YU4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
MichuziMUSOMA VETERANI MABINGWA CASTLE LAGER PERFECT SIX KANDA YA ZIWA
11 years ago
MichuziBALIMI EXTRA LAGER KUDHAMINI MASHINDANO YA NGOMA ZA ASILI 2014
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Warembo Miss Tanzania 2014 wawasili kambini, kanda ya ziwa waendesha gari yao hadi Dar
Na Father Kidevu Blog
Wanyange 30 wanaowania taji la Redd’s Miss Tanzania 2014 jana wameingia kambini tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazo fanyikia mapema mwezi Oktoba jijini Dar es Salaam.
Warembo hao waliowasili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya jana na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha la Dar.
Warembo kutoka Kanda ya Ziwa walitia fora pale warembo hao walipowasili kambini hapo wakiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s72-c/balim1.jpg)
JJ BUDA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s1600/balim1.jpg)
Na Mwandishi wetu,Mara.
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha JJ Buda kutoka Nyarusurya Mkoani Mara kimeibuka na ubingwa katika fainali za Mkoa za mashindano yambio za mitumbwi chini ya udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager zijulikazo kama “Balimi Boat Race 2014” na hivyo kikundi hicho kuzawadiwa pesa taslimu Shilingi 900,000/= pamoja na kuwakilisha Mkoa wa Kagera kwenye fainali za Kanda zinazotarajiwa kufanyika Desemba 6 mwaka huu jijini Mwanza.
Nafasi ya pili ilichukuliwa na kikundi cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq8xR0teUk-XkEfPaA4FRw4KJpz3xstsbFZdK9Mf7VqBFdGeRjeUfYk8Op0noFq*jPrimowv2JI21z7RngASbe*y/22.jpg?width=650)
NICHORAUS NGOROMA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI UKEREWE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s72-c/unnamedb5.jpg)
KIKUNDI CHA COSTANTINE LUSALAGE MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s1600/unnamedb5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlQTHP9zpeE/VGCJqEV2QbI/AAAAAAAGwWY/RkF3Q2otk78/s1600/unnamedb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Xdd0nvX7w8/VGCJrQSosDI/AAAAAAAGwWw/KXqrG3BzRdA/s1600/unnamedb6.jpg)