Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanalyaku mabingwa wa Balimi Ngoma Mwanza

FAINALI za mashindano ya Ngoma za Asili ngazi ya mikoa zijulikanazo kama “Balimi Ngoma Festival 2014” Mkoani Mwanza kikundi cha Mwanalyaku cha chenye makazi Magu kimefanikiwa kuwaa ubingwa wa Mkoa wa Mwanza na kuzawadiwa fedha taslimu Shingi 600,00/= pamoja na tiketi ya kuwakilisha Mkoa wa Kagera katika fainali za Kanda zinazotarajiwa kufanyika Augusti 16,2014 Mkoani Mwanza.
Nafasi ya pili ya mashindano hayo ilichukuliwa na Kikundi cha Bujora cha Magu pia ambacho kilizawadiwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BUJORA MABINGWA BALIMI NGOMA KANDA YA ZIWA 2014

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime (kulia) akimkabidhi kikombe kiongozi wa kikundi cha ngoma cha Bujora mara baada ya kuibuka mabingwa wa Kanda ya Ziwa wa fainali za mashindano ya Ngoma za Asili. Baadhi ya wacheza ngoma wa kikundi cha Bujora wakishangilia baada ya kuibuka mabingwa na kukabidhiwa  zawadi ya kikombe pamoja na pesa taslimu shilingi 1,100,000/= Gabriel Ng’osha/GPL KIKUNDI...

 

10 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA COSTANTINE LUSALAGE MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI MWANZA.

Baadhi ya Wakimbia mbio za Makasia Wanaume wakichuana wakati wa fainali za mbio za Mitumbwi zinazodhaminiswa na Bia ya Balimi Extra Lager zijulikanazo kama “ Balimi Boat Race 2014” Mkoa wa Mwanza zilizofanyika mwishoni mwa wiki ambapo kikundi cha Costantine Lusalage kutoka Sengerema kilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa upande wa Wanaume.Baadhi ya Wakimbia mbio za Makasia Wanawake wakichuana wakati wa fainali za mbio za Mitumbwi zinazodhaminiswa na Bia ya Balimi Extra Lager...

 

10 years ago

Michuzi

JJ BUDA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI


Na Mwandishi wetu,Mara.

KIKUNDI cha Wanaume  wapiga kasia cha JJ Buda kutoka Nyarusurya Mkoani Mara kimeibuka na ubingwa katika fainali za Mkoa za mashindano yambio za mitumbwi chini ya udhamini wa bia ya  Balimi Extra Lager zijulikazo kama “Balimi Boat Race 2014” na hivyo kikundi hicho kuzawadiwa pesa taslimu Shilingi 900,000/= pamoja na kuwakilisha Mkoa wa Kagera kwenye fainali za Kanda zinazotarajiwa kufanyika Desemba 6 mwaka huu jijini Mwanza.
Nafasi ya pili ilichukuliwa na kikundi cha...

 

10 years ago

GPL

NICHORAUS NGOROMA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI UKEREWE

Washindi wa kwanza wa mbio za makasia wa Kisiwa cha ukerewe, kikundi cha Nichoraus Ngoroma wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi mwishoni mwa wiki. Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mery Tesha akisisitiza jambo kwa washindi (hawapo pichani). KIKUNDI cha Nichoraus Ngoroma cha Wanaume wapiga kasia cha Kisiwani…

 

10 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA ELIUD PROSPER MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI KAGERA

Wakimbia mbio za Makasia Wanaume wakianza kukimbia wakati wa fainali za Mkoa wa Kagera zilizofanyika mkoani humo mwishoni mwa wiki ambapo kikosi cha Eliud Prosper kilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa upande wa Wanaume. Wakimbia mbio za Makasia Wanawake wakianza kukimbia wakati wa fainali za Mkoa wa Kagera zilizofanyika mkoani humo mwishoni mwa wiki ambapo kikosi cha Eliud Prosper kilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa upande wa Wanawake.
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha Eliud...

 

11 years ago

Michuzi

BALIMI EXTRA LAGER KUDHAMINI MASHINDANO YA NGOMA ZA ASILI 2014

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager(kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu udhamini wa mashindano ya ngoma yajulikanayo kama “Balimi Ngoma Festival 2014” TBL Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja matukio wa Taifa TBL, George Mombeki. Meneja matukio wa Taifa TBL, George Mombeki(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu udhamini wa mashindano ya ngoma yajulikanayo kama “Balimi Ngoma Festival 2014” TBL Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

All is set for second Balimi boat marathon in Mwanza

>Mwanza will be a centre of attraction when the second edition  of Balimi Boat Competition takes place on Lake Victoria at Mwaloni Beach.

 

9 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA

 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Mitumbwi kanda ya Ziwa, Richard Mgabo,moja vikombe vitakavyoshindaniwa katika mashindano ya  za mbio za Mitumbwi wakati wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki kwa udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager.

 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha...

 

10 years ago

Bongo5

Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!

Wasanii wakubwa wa muziki nchini ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure, kwa mujibu wa producer wa Upraise Records, Dupy. Dupy amedai kuwa hali hiyo imemfanya hadi sasa kuwa na nyimbo alizowatengeneza Izzo B na Juma Nature pekee. “Wasanii wengi wakubwa wana zile za kujuana,” Dupy ameiambia Bomba Base Show ya Bomba FM Radio, Mbeya. “Mtu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani