Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!

Wasanii wakubwa wa muziki nchini ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure, kwa mujibu wa producer wa Upraise Records, Dupy. Dupy amedai kuwa hali hiyo imemfanya hadi sasa kuwa na nyimbo alizowatengeneza Izzo B na Juma Nature pekee. “Wasanii wengi wakubwa wana zile za kujuana,” Dupy ameiambia Bomba Base Show ya Bomba FM Radio, Mbeya. “Mtu […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

 

9 years ago

Bongo5

Mc Galaxy wa Nigeria aingia studio kurekodi na producer Swizz Beatz (Video)

MC-Galaxy and Swizz Beatz

Siku za hivi karibuni producer maarufu wa Marekani Swizz Beatz na mkewe Alicia Keyz wamekuwa wakipost video clips kwenye mitandao ya kijamii wakifurahia nyimbo za wasanii wa Afrika zikiwemo kazi za Diamond, MC Galaxy, Wizkid na wengine.

MC-Galaxy and Swizz Beatz

Mc Galaxy ameingia studio jijini New York, marekani kurekodi nyimbo mpya na producer huyo wa kimataifa Swizz Beatz ikiwemo remix ya wimbo wake ‘Sekem’.

MC Galaxy alipost picha akiwa studio na Swizz kwenye akaunti yake ya Instagram.

Katika video ya Swizz...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge adai trafiki hupangiwa ‘hesabu’ na wakubwa wao

Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Conchesta Rwamlaza, amedai kuna  minong’ono kuwa askari wa usalama barabarani  hupangiwa kiwango cha kukusanya na kuwakilishwa kwa viongozi wao.

 

10 years ago

Bongo Movies

Luckey: Wasanii Wakubwa Wanabebwa na Mavazi

MWIGIZAJI na muongozaji wa filamu Bongo Luckey Luckamo amewashukia wasanii wakubwa kuwa uwezo wao wa kuigiza ni mdogo sana lakini baadhi ya watayarishaji wanawapenda kwa sababu ya mavazi yao katika filamu kitu kinachosaidia kupunguza gharama kwao lakini kiwango chao ni kidogo sana.

“Katika tasnia ya filamu kuna changamoto nyingi, lakini ngumu kuliko yote ukikutana na filamu inayoshirikisha wasanii Nyota, tatizo kwani wengi wao uwezo wao upo chini sana, lakini wanabebwa na mavazi tu kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna ngoma kali za Bongo fleva — Asema producer mkongwe Enrico

Ukiwataja watayarishaji wakongwe wa muziki wa Bongo ambao mpaka sasa bado wapo na wanaendelea na kazi hiyo, huwezi kumuacha Enrico Figueiro wa studio ya Sound Crafters. Enrico ambaye kwasasa hasikiki kutokana na kutofanya sana Bongo Fleva ambayo ndio inapewa nafasi zaidi ya kutangazwa, amesema kuwa nyimbo zote zinazotoka siku hizi hazina ubora ndio maana hazidumu […]

 

10 years ago

CloudsFM

CYRIL AMPANDISHA NDEGE PRODUCER WAKE BAADA YA KUGONGEWA NGOMA KALI

Hivi karibuni msanii wa Hip Hop Bongo,Cyril Kamikaze aliwashangaza watu kwa kumpa ofa producer wake Geoff Master wa studio ya Tongwe Records baada kupigiwa biti ya ngoma flani ambayo haijatoka, cyril alimpeleka mjini Zanzibar Geoff Master kwa siku kama nne kwa ajili ya mapumziko kama shukrani ya kumfanyia ngoma.‘’Nimeamua kumpeleka producer wangu mjini Zanzibar kwa mapumziko kama shukrani ya kunifanyia ngoma kali ingawa sijajua kama itafanya vizuri au haitafanya vizuri lakini ni ngoma...

 

9 years ago

Bongo5

Baucha kuanzisha ‘mobile studio’ kurekodi na wasanii wa mikoani

Producer na msanii Baucha amesema amedhamiria kuanzisha mobile studio ili kuweka unafuu na urahisi wa ufanyaji kazi kwa wasanii wa mikoani na wilayani ambao walikuwa na ndoto ya kufanya wimbo/nyimbo kwenye studio kubwa Tanzania. Katika mahojiano aliyoyafanya na mtangazaji Ergon Elly wa Kitulo FM – Njombe, Baucha alisema wasanii wengi kutoka mikoani wanatamani kuja Dar […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Producer Swizz Beatz wa Marekani azipa shavu ngoma mbili za Diamond

Producer mkongwe aliyewaingiza kwenye ramani ya muziki rappers maarufu wakiwemo EVE na DMX, Kasseem Dean maarufu kama Swizz Beatz wa nchini Marekani, ni shabiki wa nyimbo za Diamond Platnumz. Producer huyo ambaye pia ni rapper na mume wa Alicia Keys, jana aliendelea kuonesha mapenzi yake kwa muziki wa Afrika kwa kupost video za mwanae pekee […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani