Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge adai trafiki hupangiwa ‘hesabu’ na wakubwa wao

Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Conchesta Rwamlaza, amedai kuna  minong’ono kuwa askari wa usalama barabarani  hupangiwa kiwango cha kukusanya na kuwakilishwa kwa viongozi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!

Wasanii wakubwa wa muziki nchini ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure, kwa mujibu wa producer wa Upraise Records, Dupy. Dupy amedai kuwa hali hiyo imemfanya hadi sasa kuwa na nyimbo alizowatengeneza Izzo B na Juma Nature pekee. “Wasanii wengi wakubwa wana zile za kujuana,” Dupy ameiambia Bomba Base Show ya Bomba FM Radio, Mbeya. “Mtu […]

 

9 years ago

Bongo5

Nuh Mziwanda adai BASATA wamemalizana na Shilole, wao wakanusha

Nuh Mziwanda amedai kuwa kabla Shilole hajaondoka kwenda nchini Marekani walimalizana kila kitu na BASATA. Nuh amesema vibali alivyochukua Shilole BASATA ndio vilivyomwezesha kuchukua visa ya kusafiria. “Ili upate urahisi wa kupata visa lazima upate vibali vyote vya BASATA,” Nuh aliambia XXL ya Clouds FM. “Kwahiyo ilibidi awe na vibali vyote vya BASATA kwasababu BASATA […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?

Kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA ya JEMBE FM Mwanza stori ya Traffic aliyetumbukia mtaroni akiendesha bajaji ya mizigo aliyoikamata kutoka kwa dereva wa bodaboda imesikika, nini kisa na mkasa kwa ufupi ni kwamba> Mara baada ya kumkamata mwendeshaji Hamisi Omary kwa kusa la kupakia mzigo mkubwa wa mbao alimwamuru kulipa faini ya shilingi elfu 30, naye Hamisi akamwomba msamaha kwa Traffic huyo kwamba ni fedha nyingi sana ambayo hawezi kuilipa kwa hata kipato anachokipata toka kwa tajiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya

Mbunge mmoja mwanamke nchini Kenya sasa amejitokeza na kudai kwamba wabunge watatu wanaume walijaribu kumvua nguo.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo

Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Omari Nundu Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Omari Nundu, amesema watumishi wa serikali wanachangia kurudisha maendeleo ya wananchi nyuma.

Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.

Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni

DSC06174

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.

DSC06218

Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida,  Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...

 

9 years ago

Michuzi

PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII


Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Lulindi kuchagua mbunge wao leo

Wananchi wa jimbo la Lulindi mkoani Lindi leo watapiga kura kuchagua mbunge baada ya uchaguzi wa jimbo hilo uliopaswa kufanyika Oktoba 25, kuahirishwa kutokana na kasoro mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

Segerea wamjia juu mbunge wao

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro MahangaSAKATA la kuzomewa kwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga wakati wa zoezi la kuapishwa kwa viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Ilala, limechukua sura mpya baada ya wakazi wa Segerea, kuchefuliwa na kauli ya Naibu Waziri huyo aliyedai kuwa waliomzomea ni wahuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani