Mbunge adai trafiki hupangiwa ‘hesabu’ na wakubwa wao
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Conchesta Rwamlaza, amedai kuna minong’ono kuwa askari wa usalama barabarani hupangiwa kiwango cha kukusanya na kuwakilishwa kwa viongozi wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Jan
Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!
9 years ago
Bongo509 Sep
Nuh Mziwanda adai BASATA wamemalizana na Shilole, wao wakanusha
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo
Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.
Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...
9 years ago
MichuziPPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Lulindi kuchagua mbunge wao leo
10 years ago
Habarileo10 Jan
Segerea wamjia juu mbunge wao
SAKATA la kuzomewa kwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga wakati wa zoezi la kuapishwa kwa viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Ilala, limechukua sura mpya baada ya wakazi wa Segerea, kuchefuliwa na kauli ya Naibu Waziri huyo aliyedai kuwa waliomzomea ni wahuni.