Lulindi kuchagua mbunge wao leo
Wananchi wa jimbo la Lulindi mkoani Lindi leo watapiga kura kuchagua mbunge baada ya uchaguzi wa jimbo hilo uliopaswa kufanyika Oktoba 25, kuahirishwa kutokana na kasoro mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Arusha, Handeni kuchagua wabunge wao leo
11 years ago
GPLWANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
11 years ago
Michuzi16 Mar
zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu
11 years ago
Habarileo20 May
Malawi kuchagua Rais, wabunge leo
WANANCHI wa Malawi, leo wanapiga kura kuchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Kadhalika, watachagua wabunge na madiwani. Hii ni mara ya kwanza kwa wananchi wa Malawi kupiga kura tatu.
10 years ago
Habarileo10 Jan
Segerea wamjia juu mbunge wao
SAKATA la kuzomewa kwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga wakati wa zoezi la kuapishwa kwa viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Ilala, limechukua sura mpya baada ya wakazi wa Segerea, kuchefuliwa na kauli ya Naibu Waziri huyo aliyedai kuwa waliomzomea ni wahuni.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Washangaa mbunge wao kuitwa ‘mzigo’
WANANCHI wilayani Ulanga, Morogoro, wamekuja juu kutokana na mbunge wao, Celina Kombani, ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kuhusishwa kuwa ni mmoja...
10 years ago
MichuziUchaguzi Mdogo kuchagua rais Nchini Zambia wafanyika leo
Mshindi katika uchaguzi huu atatawala hadi...
10 years ago
Habarileo22 May
Tuhuma za wanaume Rombo zamfadhaisha mbunge wao
MADAI ya wanawake wa wilaya ya Rombo, Kilimanjaro, kukodi wanaume kutoka nchini Kenya, baada ya kukosa huduma za ndoa kutoka kwa waume zao kwa muda mrefu, kutokana na ulevi wa gongo uliopindukia, zimemfadhaisha Mbunge wao, Joseph Selasini (Chadema).