MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISASI

Mfanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella. MFANYAKAZI wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella amevamiwa na majambazi wenye silaha na kupigawa risasi, kujeruhiwa na kisha kuporwa fedha zake mchana huu maeneo ya Tabata-Relini jijini Dar. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Pella anadaiwa kuporwa kiasi cha Sh. Mil 2 alizokuwa nazo akiwa ametoka kuzichukua kwenye mashine ya kutolea fedha (ATM) Tawi la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Feb
MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISAS


10 years ago
Mwananchi19 Feb
Mfanyakazi MCL apigwa Risasi, aporwa Sh2milioni
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mfanyakazi wa Zantel auawa kwa kupigwa risasi
11 years ago
Mwananchi29 Aug
Apigwa risasi machimboni
11 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Jambazi apigwa risasi na wenzake
MTU mmoja anayeshukiwa kuwa ni jambazi sugu, Benard Aaron (47) ‘Chinga’ amefariki dunia kwa kupigwa risasi na majambazi wenzake. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa 8:00...
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mwanaharakati apigwa risasi Burundi
11 years ago
GPL
MC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mkereketwa apigwa risasi na kuuawa Libya
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afisa wa kanisa apigwa risasi Mombasa