Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISAS

Mfanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella.MFANYAKAZI wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella amevamiwa na majambazi wenye silaha na kupigawa risasi, kujeruhiwa na kisha kuporwa fedha zake mchana huu maeneo ya Tabata-Relini jijini Dar.Kwa mujibu wa chanzo chetu, Pella anadaiwa kuporwa kiasi cha Sh. Mil 2 alizokuwa nazo akiwa ametoka kuzichukua kwenye mashine ya kutolea fedha (ATM) Tawi la NMB liliyopo jirani na Azam TV, Barabara ya Mandela.Kamanda wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISASI

Mfanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella. MFANYAKAZI wa Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella amevamiwa na majambazi wenye silaha na kupigawa risasi, kujeruhiwa na kisha kuporwa fedha zake mchana huu maeneo ya Tabata-Relini jijini Dar. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Pella anadaiwa kuporwa kiasi cha Sh. Mil 2 alizokuwa nazo akiwa ametoka kuzichukua kwenye mashine ya kutolea fedha (ATM) Tawi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi MCL apigwa Risasi, aporwa Sh2milioni

Watu wasiojulikana wamempiga risasi moja ya mkono na kumpora fedha kiasi cha Sh2milioni mfanyakazi wa Mwananchi Communication Limited, Patrick Pera mara baada ya kutoka kuzichukua katika benki ya NMB tawi la Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Adaiwa kumdhalilisha mfanyakazi

>Mkazi wa Singida Mjini, Jacqueline Kweka (30) jana alipandishwa mahakamani mjini hapa akikabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili mfanyakazi wake wa ndani (15).

 

10 years ago

GPL

MFANYAKAZI CLOUDS MBARONI

Musa mateja MREMBO aliyetajwa kwa jina la Cynthia Maximillian ambaye alikuwa mfanyakazi wa Kampuni ya Clouds Media Group  amejikuta akitiwa mbaroni kwa madai ya kutapeli mamilioni ya shilingi ya wafanyakazi wenzake na marafiki aliosoma nao....Soma zidi===>http://bit.ly/1HXXrRE

 

10 years ago

Vijimambo

Mfanyakazi wa UN afariki Ujerumani



Mfanyakazi katika kituo cha kuwahudumia wagonjwa wa Ebola.
Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani.
Madaktari katika hospitali ya Leipzig wamesema mtu huyo mwenye umri wa miaka 56, alifariki dunia mapema Jumanne asubuhi.Mlipuko huo umeua zaidi ya watu 4,000 tangu mwezi Marchi, mwaka huu hususan katika nchi za Liberia, Sierra Leone, Guinea na Nigeria.
Shirika la Afya Duniani limeuelezea ugonjwa huo kama tatizo la dharura la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Haki na wajibu wa mfanyakazi II

Haki ya kupata mapumziko ya uzazi Hakuna mfanyakazi aliyejifungua atakayefanya kazi ndani ya wiki sita tangu ajifungue isipokuwa kwa ruhusa ya daktari. Mfanyakazi aliyejifungua ana haki ya kuendelea na kazi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga



Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfanyakazi mkatili matatani Uganda

Polisi wamebadilisha mashtaka ya mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwa kamera akimpiga mtoto wa mwaka mmoja na nusu, kutoka kwa kosa la kutesa hadi kosa la jaribio la mauaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Mfanyakazi apoteza maisha

Mfanyakazi aliyekuwa akitunza Watoto yatima nchini Siera Leone apoteza maisha kutokana na Ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani