Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adaiwa kumdhalilisha mfanyakazi

>Mkazi wa Singida Mjini, Jacqueline Kweka (30) jana alipandishwa mahakamani mjini hapa akikabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili mfanyakazi wake wa ndani (15).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANAMKE ADAIWA KUUWA MFANYAKAZI WA NDANI

Na Woinde Shizza, ArushaMWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Mkami Shirima(33) mkazi wa Ilikiurei nje kidogo ya jiji la Arusha, anadaiwa kumuua mfanyakazi wake wa ndani, Salome Zacharia (17)kwa kumpiga fimbo akimtuhumu kuiba shilingi elfu 50.
Mwanamke huyo ambaye anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa,anadaiwa kutenda tukio  la kumshambulia binti huyo siku ya Alhamis wiki iliyopita na baadaye alimfungia katika chumba kimoja wapo katika nyumba yake kwa muda wa siku mbili bila...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa ndani adaiwa kuua mwajiri wake

>Karani wa Mahakama ya Wilaya ya Singida, Asha Juma(24), ameuawa kwa kuchomwa kisu na mfanyakazi wake wa ndani.

 

11 years ago

GPL

BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI

Na Joseph Ngilisho, Arusha UKATILI? Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na kukatwakatwa mapanga mwilini. Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) aliyeshambuliwa kwa mapanga na tajiri wake,  Emmanuel Msovera. Fonolia ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa...

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu   Athuman  Mussa (54), mkazi  wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo  cha maisha jela  baada ya kupatikana  na hatia ya kumwingizia uume  mdomoni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa faini kwa kumdhalilisha refa

Afisa asimesimamishwa kazi kwa mda wa miezi minne baada ya kumdhalilisha refa wa kike nchini Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Stuart Hall akiri kumdhalilisha msichana

Mtangazaji wa zamani wa BBC, Stuart Hall amekiri kumdhalilisha kimapenzi mtoto wa kike chini ya umri wa miaka 16

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali imejiaibisha kwa kumdhalilisha Warioba

SERIKALI imejiaibisha kwa kutoa madai dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba. Imemdhalilisha si yeye tu, bali wajumbe wa tume na Rais...

 

10 years ago

Habarileo

5 kortini kwa kumdhalilisha askari polisi

WAFANYABIASHARA watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu makali mwilini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani