5 kortini kwa kumdhalilisha askari polisi
WAFANYABIASHARA watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu makali mwilini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Watano Kortini Kwa Kumdhalilisha Rais Magufuli
![magufuli](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/09/MAGUFULI.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora
WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...
10 years ago
Habarileo13 May
Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8
ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
9 years ago
Habarileo08 Oct
Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi
MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
10 years ago
Habarileo25 Apr
20 mbaroni kwa kumpiga askari polisi
WATU 20 wamekamatwa na Polisi baada ya kumjeruhi askari aliyekuwa doria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo alisema watu hao 20 wanatuhumiwa kumpiga na kitu butu kichwani Askari Polisi mwenye namba F 3328 Cpl Ramadhani akiwa kwenye doria na mwenzake.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Mtuhumiwa amuua askari polisi kwa jiwe