Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8
ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Polisi yawazawadia waliokamata SMG
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xZ6ePdj3-e4/VDeruN63LLI/AAAAAAAANjU/R5ybZ1DrvJY/s72-c/IMG_20141010_100045.jpg)
WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xZ6ePdj3-e4/VDeruN63LLI/AAAAAAAANjU/R5ybZ1DrvJY/s1600/IMG_20141010_100045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKd333plbG8/VDeryRFWJ3I/AAAAAAAANjc/MThUp5nbXzY/s1600/IMG_20141010_101015.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti huko wilayani ngorongoro.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora
WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...
10 years ago
Habarileo04 Mar
5 kortini kwa kumdhalilisha askari polisi
WAFANYABIASHARA watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu makali mwilini.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi
MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano