WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xZ6ePdj3-e4/VDeruN63LLI/AAAAAAAANjU/R5ybZ1DrvJY/s72-c/IMG_20141010_100045.jpg)
kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lineratus Sabas aakionyesho moja ya silaha ambazo zimesalimishwa na wananchi
Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti huko wilayani ngorongoro.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Polisi yawazawadia waliokamata SMG
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...
10 years ago
Habarileo13 May
Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8
ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano
10 years ago
MichuziPOLISI WAKAMATA BUNDUKI SMG, RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR.
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
TAARIFA: POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s72-c/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59,PEMBE ZA NDOVU PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s640/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro Sirro akiwaonesha baahdhi ya waandishi wa habali hawapo pichani pembe za Ndovu zilizo kamatwa maeneo ya Kimara Suka katika oparesheni ukaguzi wa magari.Picha na Emmanuel Massaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro akiwaonesha baadhi ya waandishi wa habari (hawapo pichan) Bunduki aina ya (SMG) iliyofutwa namba zake ikiwa na risasi 10.
![](http://2.bp.blogspot.com/-d4jwxXiBmQ8/VXKgDSL-TGI/AAAAAAAHccM/tIX_qi3Ij-0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j0TJP9Dl2yvMIV9KReHO3t5NKSV1FMowYxdLcij1Ui--xhdhmHbcZ8Q-C2Hi3iLjuFPgVjEY1QpAULP-S9ZzD4j/CHADEMA2.jpg?width=650)
VIJANA 30 WA CCM-VYUO VIKUU WASALIMISHA KADI ZAO CHADEMA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s72-c/IMG-20140802-WA0008.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM: ASKARI POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKUWA ANATAPELI WANANCHI AKAMATWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s1600/IMG-20140802-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kD77rECHH3Y/U9_aIYYQvLI/AAAAAAAF9G8/E7ptUtKJJIw/s1600/IMG-20140802-WA0009.jpg)