Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11

Siku moja baada ya kituo cha polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kuvamiwa na majambazi wakiwa na silaha na kuua polisi wawili, Jeshi la Polisi limemtia mbaroni mtu mmoja akidaiwa kuhusika katika tukio hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE

HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.

Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.

Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...

 

11 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kutaka kuua mume adhaminiwa

HATIMAYE Janeth Manjuru (32) mkazi wa Moshono jijini hapa, ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara maarufu wa madini katika mikoa ya Arusha na Manyara, Jackson Manjuru, ameachiwa kwa dhamana.

 

10 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama

MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA

 Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Jeshi la polisi mkoani  Geita limekamata bunduki saba (pichani) na mabomu kadhaa ya machozi eneo la Ushirombo wilaya ya Bukombe ikisadikiwa kuwa ni kati ya bunduki kumi zilizoporwa na majambazi yaliyovamia kituo cha polisi Bukombe na kufanya mauaji ya askari polisi wawili waliokuwa zamu  jana. Bunduki hizo, nne zikiwa SMG na tatu aina ya Shotgun  pamoja na panga zimepatikana  katika tanuri la kuchomea matofali zikiwa zimefichwa pamoja na mabomu...

 

9 years ago

Vijimambo

COMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM

    Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Msukuma "KING" Mshindi wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita Bi.Vick Kamata akiwashukuru na kuomba kura kwa Wananchi wa Bukombe wampigie J.P.Magufuli ifikapo tar.25.10.2015 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Joseph Msukuma akizungumza na Wananchi wa Bukombe kuwa yupo tayari kuzunguka Nchi nzima kuinadi Ilani ya CCM,Pia kumnadi Mgombea Urais wa CCM Dk.J.P.Magufuli kwasababu ndiye Mgombea pekee mwenye dhamira...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI

kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lineratus Sabas aakionyesho moja ya silaha ambazo zimesalimishwa  na wananchi


Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa  kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo  zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti  huko wilayani ngorongoro.


Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas  alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yawazawadia waliokamata SMG

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8

ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Meya anayetuhumiwa kuua akamatwa Mexico

Polisi nchini Mexico wamemkamata meya wa mji wa Iguala, pamoja na mke wake ambako wanafunzi 43 walipotea mwezi Septemba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani