Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama

MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JACQUELINE WILLSON ALUMA AVUNJWA NYONGA, AILALAMIKIA MAHAKAMA

Stori: makongoro oging’
AMA kweli hujafa hujaumbika.
Msichana Jacqueline Willson Aluma ambaye alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dira V, iliyopo jijini Dar es Salaam alizaliwa akiwa mzima na wala hakuwa na tatizo lolote kimwili. Jacqueline Willson Aluma akiwa na maumivu makali baada ya kuvunjwa nyonga. Lakini pasipo kujua lengo na sababu zao, watu wamekuwa wakimfuatilia binti huyo mdogo mwenye umri wa miaka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Papa Msofe, Dk. Mvungi wasogezwa

MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike.  Kesi ya watuhumiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Papa Msofe afutiwa kesi ya mauaji

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kesi ya mauaji ya kukusudia iliyokuwa ikimkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake, Makongoro Joseph.

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Msofe aendelea kusota rumande

>Mfanyabiashara anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake, Makongoro Joseph, wanaendelea kusota rumande kwa takriban mwaka mmoja sasa kutokana na kile kinachelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike.

 

10 years ago

GPL

PAPA MSOFE, MAKONGORO WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Papa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu. (Picha na maktaba yetu) Na Haruni Sanchawa / GPL MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike.  Kesi ya watuhumiwa hao wawili imetajwa leo na mwendesha mashitaka wa serikali, Hellen Moshi katika...

 

10 years ago

Habarileo

‘Papa Msofe’ afutiwa kesi, akamatwa tena

Papa MsofeMFANYABIASHARA maarufu Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, wamefutiwa kesi ya mauaji iliyokuwa inawakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA

Na Mwenekaya Said,Globu ya Jamii - Kisutu 
KESI  ya  mauaji ya kukusudia  inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi  kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kutaka kuua mume adhaminiwa

HATIMAYE Janeth Manjuru (32) mkazi wa Moshono jijini hapa, ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara maarufu wa madini katika mikoa ya Arusha na Manyara, Jackson Manjuru, ameachiwa kwa dhamana.

 

10 years ago

Mwananchi

Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11

Siku moja baada ya kituo cha polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kuvamiwa na majambazi wakiwa na silaha na kuua polisi wawili, Jeshi la Polisi limemtia mbaroni mtu mmoja akidaiwa kuhusika katika tukio hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani