Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama
MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadj3mQnwRhzw8DIBK9k39GjUfjERuT-l4uCyiZsdmgGZFg4qClbjDPzJBLpUI7opiJdR064xayAjvMjUKcfQnSM/Jack.jpg)
JACQUELINE WILLSON ALUMA AVUNJWA NYONGA, AILALAMIKIA MAHAKAMA
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Papa Msofe, Dk. Mvungi wasogezwa
MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike. Kesi ya watuhumiwa...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Papa Msofe afutiwa kesi ya mauaji
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Papa Msofe aendelea kusota rumande
10 years ago
GPLPAPA MSOFE, MAKONGORO WAENDELEA KUSOTA RUMANDE
10 years ago
Habarileo25 Jun
‘Papa Msofe’ afutiwa kesi, akamatwa tena
MFANYABIASHARA maarufu Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, wamefutiwa kesi ya mauaji iliyokuwa inawakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s72-c/DSC_7423.jpg)
UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s1600/DSC_7423.jpg)
KESI ya mauaji ya kukusudia inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...
11 years ago
Habarileo17 Dec
Anayedaiwa kutaka kuua mume adhaminiwa
HATIMAYE Janeth Manjuru (32) mkazi wa Moshono jijini hapa, ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara maarufu wa madini katika mikoa ya Arusha na Manyara, Jackson Manjuru, ameachiwa kwa dhamana.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11