JACQUELINE WILLSON ALUMA AVUNJWA NYONGA, AILALAMIKIA MAHAKAMA
![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadj3mQnwRhzw8DIBK9k39GjUfjERuT-l4uCyiZsdmgGZFg4qClbjDPzJBLpUI7opiJdR064xayAjvMjUKcfQnSM/Jack.jpg)
Stori: makongoro oging’ AMA kweli hujafa hujaumbika. Msichana Jacqueline Willson Aluma ambaye alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dira V, iliyopo jijini Dar es Salaam alizaliwa akiwa mzima na wala hakuwa na tatizo lolote kimwili. Jacqueline Willson Aluma akiwa na maumivu makali baada ya kuvunjwa nyonga. Lakini pasipo kujua lengo na sababu zao, watu wamekuwa wakimfuatilia binti huyo mdogo mwenye umri wa miaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Dec
Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama
MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.
9 years ago
StarTV16 Sep
Mwanamke avunjwa mguu kwenye kampeni Mkinya Singida
Harakati za kampeni zimezidi kuibua mambo ambapo Jeshi la Polisi linamshikilia mwenyekiti wa Kijiji cha Mkinya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida John Misanga kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mwanamke mmoja anayedaiwa kufanya fujo kwa kutaka arejeshewe kibatari chake kwenye Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Lucia Kidahu mwenye umri wa miaka 66 anadaiwa kwenda kwenye mkutano wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ikungi Mashariki kwa tiketi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUSM*ib1BHsQYup4WRgVkvTymXSZR1prTnR63ipEITEx-QzequgvKbZFkwLEU3RIm24jS0WGQhfI6Wwcg6DPKgWV/Backpain.jpg?width=650)
MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Monalisa kuwabwaga kina Lupita Nyong’o?
Baada ya muigizaji wa filamu nchini Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kutajwa kuwania tuzo za The African Prestigious Awards kama Muigizaji bora Afrika huku akitarajiwa kushindana na mastaa wakubwa Afrika amesema hata asipopata tuzo tayari anaamini ni hatua
Monalisa amezungumza hayo wakati akikabidhiwa bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Mh. Harrison Mwakyembe ambapo amesema kuwa ingawa anaamini atarudi nchini na tuzo hizo lakini hata akizikosa ni moja ya ushindi...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Flora, Riyama wafunikana kukata nyonga ukumbini
Flora Mvungi.
Na Musa Mateja
STAA wa filamu Bongo, Flora Mvungi na shostito wake, Riyama Ally juzikati walijikuta wakigeuka kivutio ukumbini baada ya kufunikana kwa kuzikata nyonga bila aibu kwenye hafla ya kumpongeza mtoto wa Flora, Tanzanite Hamis kuchaguliwa kuwa balozi wa duka la kuuza nguo.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni Hoteli ya City Style Sinza-Mugabe jijini Dar es Salaam, ambapo wawili hao walivamia katikati ya ukumbi na kuanza kushindana kuzungusha nyonga hadi kufikia hatua ya...
9 years ago
Bongo Movies25 Dec
Flora, Riyama Wafunikana Kukata Nyonga Ukumbini
STAA wa filamu Bongo, Flora Mvungi na shostito wake, Riyama Ally juzikati walijikuta wakigeuka kivutio ukumbini baada ya kufunikana kwa kuzikata nyonga bila aibu kwenye hafla ya kumpongeza mtoto wa Flora, Tanzanite Hamis kuchaguliwa kuwa balozi wa duka la kuuza nguo.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni Hoteli ya City Style Sinza-Mugabe jijini Dar es Salaam, ambapo wawili hao walivamia katikati ya ukumbi na kuanza kushindana kuzungusha nyonga hadi kufikia hatua ya kuacha kucheza wakiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2OJIhwyFwCaBUW7I2S3oAWAvLRjpqkKXs1TIad-EfVi91ya667TqlGLfXxl07NbkPClVavxZOxRbxjdBb4z5Fqs/SHAMSA22.jpg?width=650)
SHAMSA FORD AONGOZA KUKATA NYONGA MACHOZI BENDI
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Hospitali ya Apollo kuendesha kliniki ya ushauri wa magonjwa ya goti, nyonga, bega na mfumo wa fahamu Dar
Kufuatia idadi kubwa ya Watanzania ambao mara kwa mara husafiri kwenda India kwa sababu tofauti tofauti za kimatibabu, wataalamu kutoka Hospitali ya Apollo, Hyderabad, wamefikia uamuzi wa kutoa tiba na ushauri wa kitaalamu kwa Watanzania kupitia kiliniki maalumu ya siku mbili itakayofanyika Dar es Salaam. Kliniki hii maalum itaendeshwa na mtaalamu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu, Dkt Alok Ranjan na mtaalamu wa upasuaji wa mifupa, Dkt Somasekhar Reddy katika hospitali ya Hindu Mandal tarehe...
9 years ago
Bongo528 Dec
Star Wars: The Force Awakens aliyoigiza Lupita Nyong’o yaingiza $1bn siku 12 baada ya kuingia kwenye majumba ya sinema
![Star Wars The Force Awakens](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Star-Wars-The-Force-Awakens-300x194.jpg)
Star Wars: The Force Awakens imekuwa filamu iliyoingiza dola bilioni 1 haraka zaidi kwenye majumba ya sinema duniani.
Filamu hiyo ya JJ Abrams imefikia mafanikio hayo siku 12 tu baada ya kutoka na kuvunja rekodi iliyopita ya siku 13 iliyowekwa na filamu Jurassic World June, mwaka huu.
Hata hivyo Jurassic World ilipata mafanikio hayo kwa kuoneshwa China zaidi ambako The Force Awakens bado haijaoneshwa huko.
Star Wars pia iliingia fedha nyingi siku ya Christmas kwa Marekani kwa kuvuta $49.3m....