Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JACQUELINE WILLSON ALUMA AVUNJWA NYONGA, AILALAMIKIA MAHAKAMA

Stori: makongoro oging’
AMA kweli hujafa hujaumbika.
Msichana Jacqueline Willson Aluma ambaye alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dira V, iliyopo jijini Dar es Salaam alizaliwa akiwa mzima na wala hakuwa na tatizo lolote kimwili. Jacqueline Willson Aluma akiwa na maumivu makali baada ya kuvunjwa nyonga. Lakini pasipo kujua lengo na sababu zao, watu wamekuwa wakimfuatilia binti huyo mdogo mwenye umri wa miaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama

MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.

 

9 years ago

StarTV

Mwanamke avunjwa mguu kwenye kampeni Mkinya Singida

Harakati za kampeni zimezidi kuibua mambo ambapo Jeshi la Polisi linamshikilia mwenyekiti wa Kijiji cha Mkinya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida John Misanga kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mwanamke mmoja anayedaiwa kufanya fujo kwa kutaka arejeshewe kibatari chake kwenye Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.

Mwanamke aliyejulikana kwa jina la  Lucia Kidahu mwenye umri wa miaka 66 anadaiwa kwenda kwenye mkutano wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ikungi Mashariki kwa tiketi...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA

Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno. Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno...

 

5 years ago

Bongo Movies

Monalisa kuwabwaga kina Lupita Nyong’o?

Baada ya muigizaji wa filamu nchini Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kutajwa kuwania tuzo za The African Prestigious Awards kama Muigizaji bora Afrika huku akitarajiwa kushindana na mastaa wakubwa Afrika amesema hata asipopata tuzo tayari anaamini ni hatua

Monalisa amezungumza hayo wakati akikabidhiwa bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Mh. Harrison Mwakyembe ambapo amesema kuwa ingawa anaamini atarudi nchini na tuzo hizo lakini hata akizikosa ni moja ya ushindi...

 

9 years ago

Global Publishers

Flora, Riyama wafunikana kukata nyonga ukumbini

MAHARIYAFLORAMVUNGI11.jpgFlora Mvungi.

Na Musa Mateja

STAA wa filamu Bongo, Flora Mvungi na shostito wake, Riyama Ally juzikati walijikuta wakigeuka kivutio ukumbini baada ya kufunikana kwa kuzikata nyonga bila aibu kwenye hafla ya kumpongeza mtoto wa Flora, Tanzanite Hamis kuchaguliwa kuwa balozi wa duka la kuuza nguo.

Riyama3.jpgTukio hilo lilitokea hivi karibuni Hoteli ya City Style Sinza-Mugabe jijini Dar es Salaam, ambapo wawili hao walivamia katikati ya ukumbi na kuanza kushindana kuzungusha nyonga hadi kufikia hatua ya...

 

9 years ago

Bongo Movies

Flora, Riyama Wafunikana Kukata Nyonga Ukumbini

RIYAMA76

STAA wa filamu Bongo, Flora Mvungi na shostito wake, Riyama Ally juzikati walijikuta wakigeuka kivutio ukumbini baada ya kufunikana kwa kuzikata nyonga bila aibu kwenye hafla ya kumpongeza mtoto wa Flora, Tanzanite Hamis kuchaguliwa kuwa balozi wa duka la kuuza nguo.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni Hoteli ya City Style Sinza-Mugabe jijini Dar es Salaam, ambapo wawili hao walivamia katikati ya ukumbi na kuanza kushindana kuzungusha nyonga hadi kufikia hatua ya kuacha kucheza wakiwa...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AONGOZA KUKATA NYONGA MACHOZI BENDI

Staa wa bongo Muvi, Shamsa Ford. Kama kawa ni Ijumaa nyingine ambayo mapaparazi wetu, Musa Mateja ‘Toz’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX 100, zamani Mzee wa Mapikipiki’, Dustan Shekidele ‘Mzee wa Mji Kasoro Bahari’, Shakoor Jongo ‘Zungu Fedha,’ Haruni Sanchawa ‘Cheusi’ na Mpigapicha Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kumrushia live...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo kuendesha kliniki ya ushauri wa magonjwa ya goti, nyonga, bega na mfumo wa fahamu Dar

Apollo-Bangalore-swa

Kufuatia idadi kubwa ya Watanzania ambao mara kwa mara husafiri kwenda India kwa sababu tofauti tofauti za kimatibabu, wataalamu kutoka Hospitali ya Apollo, Hyderabad, wamefikia uamuzi wa kutoa tiba na ushauri wa kitaalamu kwa Watanzania kupitia kiliniki maalumu ya siku mbili itakayofanyika Dar es Salaam. Kliniki hii maalum itaendeshwa na mtaalamu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu, Dkt Alok Ranjan na mtaalamu wa upasuaji wa mifupa, Dkt Somasekhar Reddy katika hospitali ya Hindu Mandal tarehe...

 

9 years ago

Bongo5

Star Wars: The Force Awakens aliyoigiza Lupita Nyong’o yaingiza $1bn siku 12 baada ya kuingia kwenye majumba ya sinema

Star Wars The Force Awakens

Star Wars: The Force Awakens imekuwa filamu iliyoingiza dola bilioni 1 haraka zaidi kwenye majumba ya sinema duniani.

Star Wars The Force Awakens

Filamu hiyo ya JJ Abrams imefikia mafanikio hayo siku 12 tu baada ya kutoka na kuvunja rekodi iliyopita ya siku 13 iliyowekwa na filamu Jurassic World June, mwaka huu.

Hata hivyo Jurassic World ilipata mafanikio hayo kwa kuoneshwa China zaidi ambako The Force Awakens bado haijaoneshwa huko.

Star Wars pia iliingia fedha nyingi siku ya Christmas kwa Marekani kwa kuvuta $49.3m....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani