Anayedaiwa kutaka kuua mume adhaminiwa
HATIMAYE Janeth Manjuru (32) mkazi wa Moshono jijini hapa, ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara maarufu wa madini katika mikoa ya Arusha na Manyara, Jackson Manjuru, ameachiwa kwa dhamana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Dec
Anayedaiwa kuua na Papa Msofe ailalamikia mahakama
MFANYABIASHARA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji pamoja na Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ , amelalamikia Mahakama akidai wamekaa gerezani miaka miwili hadi amepata ugonjwa wa kifua bila kujua hatima yao ni nini kutokana na kutokukamilika kwa upelelezi.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61FF4nSLKmNtZYiH38QQGZthG2WrjvZV1EWb236ZpajuXHCOoxFgin74XVrv71GKQFfN3kysPtnfxKdOR8FGYWJ/mtangazaji.jpg)
MTANGAZAJI MBARONI KWA KUTAKA KUUA
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mume adaiwa kuua mkewe
MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Tuombemungu Kata ya Ugunga wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Mawazo Saidi, ameuawa kikatili.
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Mume ajilipiza kisasi kwa kuua mamba
10 years ago
Habarileo03 Sep
Kortini kwa kukata mkono wa albino, kuua mume
WATU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga na kusomewa mashitaka ya kukata mkono wa mlemavu wa ngozi na kisha kumuua mumewe.
11 years ago
GPLUGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Kibonde apandishwa kortini, adhaminiwa
![Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Efraim-Kibonde.jpg)
Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde
MANENO SELANYIKA NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM
WATANGAZAJI maarufu wa redio nchini Ephraim Kibonde (42) na Gadner Habashi (41), jana walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la kutotii amri halali ya polisi wa usalama barabarani.
Katika shtaka la kwanza, Wakili wa Serikali, Salum Mohamed alidai mbele ya Hakimu Aniceta Wambura kuwa washtakiwa wote...
10 years ago
Habarileo18 Jun
Membe adhaminiwa kwa masharti Arusha
WANANCHI jijini Arusha waliojitokeza kumpokea na kumdhamini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe jana, walimpa masharti kada huyo wa CCM ya kutekeleza endapo atafanikiwa kuingia Ikulu kupitia chama hicho.