Membe adhaminiwa kwa masharti Arusha
WANANCHI jijini Arusha waliojitokeza kumpokea na kumdhamini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe jana, walimpa masharti kada huyo wa CCM ya kutekeleza endapo atafanikiwa kuingia Ikulu kupitia chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro jana Juni 18, 2015, baada ya kudhadhaminiwa kwa kishindo na WanaCCM hao, ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 33,780. Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za...
10 years ago
Michuzi
Lowassa awasili Geita kwa Kishindo, adhaminiwa na wana CCM 3,000


10 years ago
Michuzi
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO SIMIYU, ADHAMINIWA NA WANACHAMA WA CCM ELFU 5



10 years ago
Vijimambo
MWIGULU AENDELEA KUCHANJA MBUGA,ATUA KAGERA,ADHAMINIWA KWA SHANGWE





VIDEO,MWIGULU AKIAGANA NA WANANCHI WA KAGERA WALIOMDHAMINI
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
10 years ago
MichuziWAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MKOA WA ARUSHA
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Venezuela yatoa Masharti kwa Marekani
Venezuela imeipa wiki mbili Marekani kuondoa baadhi ya Wanadiplomasia wake walio nchini Venezuela
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Zitto atoa masharti kwa Lowassa
Mwanza. Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema iwapo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anataka kugombea urais kupitia chama hicho afuate taratibu za chama ikiwamo kutangaza mali zake.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
Klabu ya Simba imewapa masharti mahasimu wao wa jadi, Yanga kama inahitaji mashabiki wao waishangilie kwenye mchezo wa keshokutwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), dhidi ya BDF IX ya Botswana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania