Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi
MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Oct
Diwani kortini kwa kujeruhi watendaji
DIWANI wa Kata ya Mwangeza katika Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (50) pamoja na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida wakikabiliwa na shitaka la kupiga na kujeruhi watendaji.
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu
JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Ramadhani-Mungi-november12-2014_0.jpg)
PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE
9 years ago
Habarileo05 Nov
Mwakalebela apinga ushindi wa Msigwa kortini
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela, amekwenda mahakamani kupinga matokeo ya ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Msigwa.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Mwakalebela atinga kortini kumpinga Msigwa
10 years ago
Habarileo13 May
Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8
ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.
10 years ago
Habarileo04 Mar
5 kortini kwa kumdhalilisha askari polisi
WAFANYABIASHARA watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu makali mwilini.
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora
WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...