Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi

MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Diwani kortini kwa kujeruhi watendaji

DIWANI wa Kata ya Mwangeza katika Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (50) pamoja na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida wakikabiliwa na shitaka la kupiga na kujeruhi watendaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu

JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...

 

9 years ago

GPL

PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi. Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa. Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye...

 

9 years ago

Habarileo

Mwakalebela apinga ushindi wa Msigwa kortini

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela, amekwenda mahakamani kupinga matokeo ya ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Msigwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwakalebela atinga kortini kumpinga Msigwa

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini (CCM), Frederick Mwakalebela amefungua kesi kupinga ushindi wa Mchungaji Peter Msigwa (Chadema).

 

10 years ago

Habarileo

Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8

ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.

 

10 years ago

Habarileo

5 kortini kwa kumdhalilisha askari polisi

WAFANYABIASHARA watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu makali mwilini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora

WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani