Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani kortini kwa kujeruhi watendaji

DIWANI wa Kata ya Mwangeza katika Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (50) pamoja na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida wakikabiliwa na shitaka la kupiga na kujeruhi watendaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Diwani Kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi

Diwani wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kumpiga na kumjeruhi mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Christopher Lisso.

 

9 years ago

Habarileo

Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi

MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.

 

10 years ago

Habarileo

Diwani kortini akituhumiwa kwa wizi

ALIYEWAHI kuwa Diwani Kata ya Utemini mjini Singida, Charles Masinga amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida kwa tuhuma za kumwibia mwajiri wake bidhaa mbalimbali zenye thamani ya Sh milioni 60.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani: Watendaji wanaokula fedha wachapwe viboko

DIWANI wa Rungwa, Tarafa ya Itigi, wilayani Manyoni, Singida, Edward Machapaa, amependekeza adhabu ya kuchapwa viboko itolewe kwa watendaji wanaokula fedha za wananchi zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke mbaroni kwa kujeruhi kwa maji ya moto

JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi wa Misuna, katika Manispaa ya Singida, Mary Muna (31) kwa tuhuma ya kumuunguza kwa maji ya moto mwilini mwanamke mwenzake kutokana na wivu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka kizimbani kwa kujeruhi

BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka (30) maarufu kama SMG, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kujibu shitaka la kujeruhi. Mbele ya hakimu...

 

11 years ago

Habarileo

7 mbaroni kwa kujeruhi Mbunge

WATU saba wanashikiliwa na Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumjeruhi Mbunge wa Mbeya Vijijini, Luckson Mwanjale.

 

11 years ago

Habarileo

Waumini Moravian kizimbani kwa kujeruhi

WAUMINI watatu wa Kanisa la Moravian Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu mashitaka ya kumjeruhi askari wa Jeshi la Polisi.

 

11 years ago

GPL

MSANII BEN ASAKWA KWA KUJERUHI

Na Richard Bukos MSANII wa filamu za Kibongo, Abdulmalick Ahmed ‘Ben’ anasakwa na jeshi la polisi akidaiwa kumjeruhi mzazi mwenziye, Leyla Abdalah, mkazi wa Magomeni-Mikumi, Dar. Msichana aliyejeruhiwa na msanii Abdulmalick Ahmed ‘Ben’. Akizungumzia tukio hilo, Leyla alisema mwigizaji huyo ambaye pia hufahamika kwa jina la Serengo amekuwa akimfanyia fujo mara kwa mara kwani Januari, mwaka huu, akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani