Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani: Watendaji wanaokula fedha wachapwe viboko

DIWANI wa Rungwa, Tarafa ya Itigi, wilayani Manyoni, Singida, Edward Machapaa, amependekeza adhabu ya kuchapwa viboko itolewe kwa watendaji wanaokula fedha za wananchi zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Diwani kortini kwa kujeruhi watendaji

DIWANI wa Kata ya Mwangeza katika Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (50) pamoja na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida wakikabiliwa na shitaka la kupiga na kujeruhi watendaji.

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango

IMG_6071

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dkt. Servacius Likwelile akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji kabla ya kuanza majadiliano na watendaji wa Wizara na Taasisi.

IMG_6171

Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na watendaji wa Wizara na Taasisi alipokutana nao katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango. 

Akizungumza na uongozi wa Wizara na Taasisi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji aliwaasa...

 

10 years ago

Mwananchi

Watendaji waliohujumu fedha kukiona

Watumishi wa Wilaya ya Mufindi wanaotuhumiwa kutafuna fedha za halmashauri hiyo, watajulikana Novemba 24 mwaka huu baada ya kufanyika kwa kikao cha kamati ya fedha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani, Mtendaji warudisha fedha walizoiba Geita

SIKU chache baada ya Tanzania Daima kuandika habari iliyokuwa ikiwatuhumu Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maweda Gwesandili na Mtendaji wa Kata ya Isulwabutundwe, Sadik Masalu kuiba sh. milioni 1.2...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Shein akutana na watendaji wa wizara ya Fedha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Fedha katika mkutano wa siku moja uliozungumziautekelezaji mpango kazi wa Wizara ya hiyo kwa kipindi cha mwezi Julai-Disemba 2014 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi,

Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo Omar Yussuf Mzee(hayupo pichani) alipokuwa akitoa Taarifa ya Utekelezaji wa mpango kazi wa Wizara kwa kipindi cha...

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji ‘wanaotafuna’ fedha za wakulima kukiona

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego ameapa kula sahani moja ikibidi kuwashikia bakora baadhi ya watendaji wake mkoani humo watakaobainika kutafuna fedha za wakulima wa zao la korosho zinazotolewa na mfuko wa kuendeleza zao hilo nchini.

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango

Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na watendaji wa Wizara na Taasisi alipokutana nao katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango.  Akizungumza na uongozi wa Wizara na Taasisi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji aliwaasa viongozi kutekeleza majukumu waliyokabidhiwa na kuhakikisha bajeti ya Serikali inalenga vipaumbele vinavyogusa wananchi katika kutekeleza ahadi ya Serikali. Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akijadiliana na watendaji...

 

5 years ago

Michuzi

PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za  miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili  ikamilike kwa wakati na ubora.

Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe

BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani