Watendaji ‘wanaotafuna’ fedha za wakulima kukiona
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego ameapa kula sahani moja ikibidi kuwashikia bakora baadhi ya watendaji wake mkoani humo watakaobainika kutafuna fedha za wakulima wa zao la korosho zinazotolewa na mfuko wa kuendeleza zao hilo nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Watendaji waliohujumu fedha kukiona
10 years ago
Habarileo01 Sep
Watendaji wenye tamaa kukiona
RAIS Jakaya Kikwete amesema itatengenezwa dawa ya wadaiwa sugu wa maji hususan taasisi za Serikali, walipe ankara zao kwa wakati. Alisema sasa halmashauri zina fedha nyingi kuliko wakati wowote kutokana na ongezeko la kukusanya kodi; jambo alilotaka fedha zinazotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo zitumike kama ilivyokusudiwa.
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Watendaji legelege TAKUKURU kukiona
NA EVA-SWEET MUSIBA, SIRARI
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imezitaka idara za udhibiti za katika mpaka wa Sirari, kufanya kazi uadilifu ili kudhibiti bidhaa zisizofaa kuingizwa nchini.
Imeonya kuwa kinyume cha agizo hilo, watendaji watakaobanika watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mara, Joseph Holle, alisema kuwa idara hizo zinapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha bidhaa zisizofaa kutoka nchi jirani haziingizwi nchini.
Alisema...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servacius Likwelile akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji kabla ya kuanza majadiliano na watendaji wa Wizara na Taasisi.
Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na watendaji wa Wizara na Taasisi alipokutana nao katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango.
Akizungumza na uongozi wa Wizara na Taasisi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji aliwaasa...
10 years ago
Habarileo13 May
‘Mchwa’ fedha za umma kukiona
OFISI wa Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeziagiza halmashauri zote nchini, kuanzia Julai Mosi, mwaka huu kuanza kutumia mfumo wa kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato yote ya ndani.
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Viongozi watakaofuja fedha za umma kukiona
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5dbQeGOiJrs/VOZKTVfrL_I/AAAAAAABlzA/KIJ7Umg0rw8/s72-c/IMG_6051.jpg)
Dk Shein akutana na watendaji wa wizara ya Fedha
![](http://1.bp.blogspot.com/-5dbQeGOiJrs/VOZKTVfrL_I/AAAAAAABlzA/KIJ7Umg0rw8/s640/IMG_6051.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mh94OHyxqTg/VOZKIWe9SJI/AAAAAAABly4/SESCxCDETNg/s640/IMG_6025.jpg)
Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo Omar Yussuf Mzee(hayupo pichani) alipokuwa akitoa Taarifa ya Utekelezaji wa mpango kazi wa Wizara kwa kipindi cha...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Diwani: Watendaji wanaokula fedha wachapwe viboko
DIWANI wa Rungwa, Tarafa ya Itigi, wilayani Manyoni, Singida, Edward Machapaa, amependekeza adhabu ya kuchapwa viboko itolewe kwa watendaji wanaokula fedha za wananchi zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha...
9 years ago
MichuziDkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango