Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji wenye tamaa kukiona

RAIS Jakaya Kikwete amesema itatengenezwa dawa ya wadaiwa sugu wa maji hususan taasisi za Serikali, walipe ankara zao kwa wakati. Alisema sasa halmashauri zina fedha nyingi kuliko wakati wowote kutokana na ongezeko la kukusanya kodi; jambo alilotaka fedha zinazotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo zitumike kama ilivyokusudiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watendaji legelege TAKUKURU kukiona


NA EVA-SWEET MUSIBA, SIRARI
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imezitaka idara za udhibiti za katika mpaka wa Sirari, kufanya kazi uadilifu ili kudhibiti bidhaa zisizofaa kuingizwa nchini.
Imeonya kuwa kinyume cha agizo hilo, watendaji watakaobanika watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mara, Joseph Holle, alisema kuwa idara hizo zinapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha bidhaa zisizofaa kutoka nchi jirani haziingizwi nchini.
Alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Watendaji waliohujumu fedha kukiona

Watumishi wa Wilaya ya Mufindi wanaotuhumiwa kutafuna fedha za halmashauri hiyo, watajulikana Novemba 24 mwaka huu baada ya kufanyika kwa kikao cha kamati ya fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji ‘wanaotafuna’ fedha za wakulima kukiona

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego ameapa kula sahani moja ikibidi kuwashikia bakora baadhi ya watendaji wake mkoani humo watakaobainika kutafuna fedha za wakulima wa zao la korosho zinazotolewa na mfuko wa kuendeleza zao hilo nchini.

 

10 years ago

GPL

BAJAJ YENYE WITO KWA WALIMWENGU WENYE KUKATA TAMAA

Bajaj ikiwa na ujumbe wenye kuhamasisha watu kutokata tamaa. MTANDAO wetu leo ‘umeifuma’ Bajaj yenye wito murua kwa walimwengu wenye kukata tamaa.  Wito wenyewe ulioandikwa kwenye chombo hicho cha moto maeneo ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam ni:  “ONYO: NI MARUFUKU KUKATA TAMAA..!” (Habari/Picha na Gabriel Ng’osha/GPL) ...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa wenye sarafu, noma, na wenye masurufu, neema

Juzi, hatimaye, waishiwa tuliweza kukusanyika sebuleni mwetu kutathmini hali iliyopo. Usituone hivi. Kutokana na hali halisi, hata uwezo wetu wa kupata bakuli ya supu umepungua hivyo inabidi watu wajipigepige kweli hadi wengine kidogo walazwe kwa majeraha ya kujipiga.

 

11 years ago

Dewji Blog

TWB na TWA wafanya mafunzo kituo cha kinamama wenye Watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa Ubongo na Mgongo wazi Chawawaki Kigamboni

1

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement (TWA).

3

Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...

 

11 years ago

Michuzi

TWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement(TWA)  Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani