‘Mchwa’ fedha za umma kukiona
OFISI wa Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeziagiza halmashauri zote nchini, kuanzia Julai Mosi, mwaka huu kuanza kutumia mfumo wa kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato yote ya ndani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Viongozi watakaofuja fedha za umma kukiona
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Watendaji waliohujumu fedha kukiona
10 years ago
Habarileo14 Feb
Watendaji ‘wanaotafuna’ fedha za wakulima kukiona
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego ameapa kula sahani moja ikibidi kuwashikia bakora baadhi ya watendaji wake mkoani humo watakaobainika kutafuna fedha za wakulima wa zao la korosho zinazotolewa na mfuko wa kuendeleza zao hilo nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Nov
Muhongo: Fedha za Escrow si za umma
SERIKALI imesema kuwa fedha zilizokuwamo katika akaunti ya Tegeta Escrow ya wanahisa wa Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), hazikuwa za umma, na ilichukua tahadhari ya kutosha dhidi ya madai mengine yanayoweza kujitokeza kabla ya kutolewa kwa fedha katika akaunti hiyo iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Usimamizi fedha za umma waimarika
USIMAMIZI wa matumizi ya fedha za umma kwa kutumia mfumo wa kielektroniki (Epicor) katika Mamlaka za Serikali za Mitaa umeongezeka kutokana na kukamilika kwa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano nchini....
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Fedha za Escrow ni mali ya umma
KWA mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow...
10 years ago
Habarileo29 Nov
Werema asisitiza fedha za Escrow si za umma
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Federick Werema, amesema kwa msimamo wake, fedha za akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hazikuwa za umma na sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ni upuuzi.