Diwani, Mtendaji warudisha fedha walizoiba Geita
SIKU chache baada ya Tanzania Daima kuandika habari iliyokuwa ikiwatuhumu Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maweda Gwesandili na Mtendaji wa Kata ya Isulwabutundwe, Sadik Masalu kuiba sh. milioni 1.2...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Diwani amkana mtendaji kikaoni
DIWANI wa Ganana katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara, Zakayo Tarmo, amemkana mtendaji wake wa kata na kukataa kusomewa taarifa ya maendeleo akimtuhumu hampi ushirikiano katika utendaji ndani...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Diwani, Mtendaji wanusurika kuchomwa moto
DIWANI wa Isakamaliwa, Igunga, Doto Kwilasa, Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Erasto Shokoro, wajumbe sita wa serikali ya kijiji na mtu ambaye hajajulikana wamenusurika kuchomwa moto na wananchi. Wananchi hao waliwafungia...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Diwani akamatwa na matunguri ya uchawi Geita
Baadhi ya tunguri alizokamatwa nazo diwani huyo.(Picha kwa hisani ya Malunde Blog).
Na Mwandishi wetu
Diwani wa wa kata ya Bugarama Mawazo Wiliam (CCM) iliyopo Wilayani Geita amekamatwa akiwa na matunguri anayoyatumia kupiga ramli chonganishi yakiwa Nyumbani kwake anakoishi.
Baadhi ya wananchi wa kata hiyo walisema kuwa Diwani huyo amekuwa akiwapigia ramli chonganishi watu wanaokwenda kwake kwa ajili ya kupata tiba ya kienyeji hivyo kuwaomba wanaohusika kuchukua hatua dhidi ya Diwani...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Diwani: Watendaji wanaokula fedha wachapwe viboko
DIWANI wa Rungwa, Tarafa ya Itigi, wilayani Manyoni, Singida, Edward Machapaa, amependekeza adhabu ya kuchapwa viboko itolewe kwa watendaji wanaokula fedha za wananchi zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Ofisa Mtendaji atupwa mahabusu kwa kutafuna fedha za shule
MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Rustika Turuka amemweka mahabusu Ofisa Mtendaji Kata ya Kining’inila John Maduhu, kwa tuhuma za kutafuna Sh milioni 21 za ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kining’inila.
10 years ago
MichuziMBUNGE WA MOROGORO MJINI ATOA WIKI MBILI KWA MTENDAJI WA KATA KURUDISHA FEDHA ZA WANANCHI
10 years ago
VijimamboWaziri wa Fedha na ujumbe wake wakutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Afrika na uongozi wa mfuko Changamoto za Milenia.
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mkurugenzi wa Mtendaji wilaya ya Hanang’ akanusha tuhuma za halmashauri yake kutafuna fedha zaidi ya Tsh Milioni 500
Na woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumia vibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyo ilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s72-c/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI WA MTENDAJI WILAYA YA HANANG' AKANUSHA TUHUMA ZA HALMASHAURI YAKE KUTAFUNA FEDHA ZAIDI YA TSH MILINIONI 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s640/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumiavibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyoilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi 281.9 ya fedha zilizoidhinishwa...