Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani, Mtendaji wanusurika kuchomwa moto

DIWANI wa Isakamaliwa, Igunga, Doto Kwilasa, Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Erasto Shokoro, wajumbe sita wa serikali ya kijiji na mtu ambaye hajajulikana wamenusurika kuchomwa moto na wananchi. Wananchi hao waliwafungia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani amkana mtendaji kikaoni

DIWANI wa Ganana katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara, Zakayo Tarmo, amemkana mtendaji wake wa kata na kukataa kusomewa taarifa ya maendeleo akimtuhumu hampi ushirikiano katika utendaji ndani...

 

9 years ago

Habarileo

Gari lanusurika kuchomwa moto

WANANCHI wa Kata ya Embaseni wilaya ya Meru jana walifanya fujo na kutaka kuchoma gari la Utalii ambalo limekodishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Halmashauri ya wilaya ya Meru kwa madai ya kuwa lilibeba kura hewa na kutaka kuziingiza vituoni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kuchomwa moto

KADUCHU Tototo (40) mkazi wa Kijiji cha Rugasha, Kata ya Kibingo wilayani Kyerwa, ameuawa na kuchomwa moto na mafuta ya petroli baada ya kutuhumiwa kuvunja duka la Gerald Daud na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani, Mtendaji warudisha fedha walizoiba Geita

SIKU chache baada ya Tanzania Daima kuandika habari iliyokuwa ikiwatuhumu Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maweda Gwesandili na Mtendaji wa Kata ya Isulwabutundwe, Sadik Masalu kuiba sh. milioni 1.2...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari la wagonjwa lanusurika kuchomwa moto

GARI la wagonjwa lililotolewa msaada na Shirika la Africare kwa ajili ya Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga, Rukwa limenusurika kuchomwa moto na wananchi wa eneo hilo kutokana kudaiwa kuchangia...

 

11 years ago

Mwananchi

Anayedaiwa kuchomwa moto afariki dunia

Mwanafunzi wa kidato cha tatu Sekondari ya Mwanza, Annastazia Magafu anayedaiwa kuchomwa moto na baba yake, amefariki dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili wafa kwa kuchomwa moto

Wakazi wawili wa Kijiji cha Damwelu, Kata ya Ipande, Tarafa ya Itigi wilayani hapa wamefariki dunia baada ya kupigwa na kuchomwa moto na kundi la watu waliojitambulisha kuwa ni sungusungu.

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.

 

9 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto Bunda

Mh.StephenWassiraNa Shomari Binda, Bunda

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bunda jana, Bulaya alisema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la  Kambarage, alikumbana na mkasa huo juzi kwenye Kata ya Kunzugu eneo la Bukore.

Alisema Kambarage akiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani