Auawa kwa kuchomwa moto
KADUCHU Tototo (40) mkazi wa Kijiji cha Rugasha, Kata ya Kibingo wilayani Kyerwa, ameuawa na kuchomwa moto na mafuta ya petroli baada ya kutuhumiwa kuvunja duka la Gerald Daud na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Auawa na kuchomwa moto kwa tuhuma za ujambazi
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa ya wananchi kumuua kijana Hussein Jumanne Kisuke (31) anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu. Baada ya kumshambuliwa kwa silaha za jadi na kufariki dunia na kisha kumchoma moto.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mtuhumiwa wa Ujambazi mkazi wa Misuna Hussein Jumanne Kisuke (31) juzi alipigwa na wananchi wa Misuna mjini Singida kwa kutumia silaha za jadi na kuuwawa na kisha kuchomwa moto.
Kamanda wa...
10 years ago
Habarileo17 Mar
Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGCNXxluIenDwFa8MPbZupCURw5IVJPbeMsOceWSkvXEQ5CAL02-yrnIWCp0o6nisDQra5HvHacUeu2-z10ulEr/MTOTO.jpg?width=650)
MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Wawili wafa kwa kuchomwa moto
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7WaW*6Bsqz1XyrOFMbHSl2i49c3FGilFLNYbn-mP0j46OaZxOmZI701jSHRg*enPIOnPKIvswOQaMJd-Wp4-t*9VP17a-ruE/FLABBA690x450.jpg?width=650)
MWANA HIP HOP FLABBA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MPENZI WAKE AFRIKA KUSINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s72-c/michael.jpg)
WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg)