MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGCNXxluIenDwFa8MPbZupCURw5IVJPbeMsOceWSkvXEQ5CAL02-yrnIWCp0o6nisDQra5HvHacUeu2-z10ulEr/MTOTO.jpg?width=650)
Stori: Gabriel Ng’osha na Denis Mtima SIKU mbili kabla ya Sikukuu ya Eid el Fitr, binti aliyefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) (pichani), amekumbwa na mauti kufuatia kuchomwa visu mwilini na mchumba wake aliyetajwa kwa jina la Omary Idd. Binti anayefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) aliyechomwa kisu na mchumba wake,Omary Idd Tukio hilo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Auawa kwa kuchomwa moto
KADUCHU Tototo (40) mkazi wa Kijiji cha Rugasha, Kata ya Kibingo wilayani Kyerwa, ameuawa na kuchomwa moto na mafuta ya petroli baada ya kutuhumiwa kuvunja duka la Gerald Daud na...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Auawa na kuchomwa moto kwa tuhuma za ujambazi
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa ya wananchi kumuua kijana Hussein Jumanne Kisuke (31) anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu. Baada ya kumshambuliwa kwa silaha za jadi na kufariki dunia na kisha kumchoma moto.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mtuhumiwa wa Ujambazi mkazi wa Misuna Hussein Jumanne Kisuke (31) juzi alipigwa na wananchi wa Misuna mjini Singida kwa kutumia silaha za jadi na kuuwawa na kisha kuchomwa moto.
Kamanda wa...
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7WaW*6Bsqz1XyrOFMbHSl2i49c3FGilFLNYbn-mP0j46OaZxOmZI701jSHRg*enPIOnPKIvswOQaMJd-Wp4-t*9VP17a-ruE/FLABBA690x450.jpg?width=650)
MWANA HIP HOP FLABBA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MPENZI WAKE AFRIKA KUSINI
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2805486/highRes/1069784/-/maxw/600/-/qejcs8z/-/pic_kisu.jpg)
By Pamela Chilongola, Mwananchi
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi baada ya...
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
10 years ago
Habarileo17 Mar
Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosYoR2kpZTxHV-7TBdLWUKln6O8MDjvBkrQF7TFeyiY13R*rklGrv09x5XH7eZ*ymQwVq-HdTC6zOefOdDPkWoHB/JapanStabbingSpree.jpg?width=650)
WATANO WAUAWA KWA VISU JAPAN