Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
>Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2805486/highRes/1069784/-/maxw/600/-/qejcs8z/-/pic_kisu.jpg)
By Pamela Chilongola, Mwananchi
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGCNXxluIenDwFa8MPbZupCURw5IVJPbeMsOceWSkvXEQ5CAL02-yrnIWCp0o6nisDQra5HvHacUeu2-z10ulEr/MTOTO.jpg?width=650)
MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Trafiki afa baada ya kukamata daladala
10 years ago
GPLBAADA YA TAMKO LA WAZIRI DALADALA JIJINI DAR ZAANZA KAZI
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Auawa baada ya kufumaniwa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nkVgNWUWe_k/VMsYVy3NH1I/AAAAAAAAncA/T-Mh2E9B370/s72-c/PICHA%2BZA%2BLEO%2B139.jpg)
Ukweli Kuhusu Tevez Aliyekatwa Uume Wake Baada ya Kuwazulumu Madawa ya Kulevya Wenzake
![](http://3.bp.blogspot.com/-nkVgNWUWe_k/VMsYVy3NH1I/AAAAAAAAncA/T-Mh2E9B370/s640/PICHA%2BZA%2BLEO%2B139.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Auawa baada ya kuwacharanga mapanga polisi
10 years ago
Habarileo28 Sep
Mtuhumiwa auawa baada ya kushindwa kujieleza
MTU mmoja mwenye umri kati ya miaka 25 na 30 ambaye jina lake halifahamiki, ameuawa baada ya kushindwa kujieleza juu ya pikipiki ambayo yeye na mwenzake walikuwa wanajaribu kuiuza Chalinze.
10 years ago
Habarileo30 Apr
Mwanafunzi auawa baada ya kukutwa na barua ya mapenzi
MWANAFUNZI wa Kidato cha Pili, Jofrey Robert Mwakatenya (15) anatuhumiwa kuuawa kikatili na baba yake mzazi, Robert Mwakatenya (35) baada ya kumkuta akiwa na barua ya mapenzi, inayodaiwa aliandikiwa na rafiki wake wa kike.