Auawa baada ya kuwacharanga mapanga polisi
Mtu mmoja ameuawa na wananchi baada ya kuwajeruhi askari wawili kwa panga katika Kituo cha Polisi Butiama, Kata ya Makongoro, Wilaya ya Butiama mkoani Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Auawa kwa kucharangwa mapanga
WATU wasiojulikana wamevamia Kanisa la Pentekoste Assemblies of God ( PAG ) usiku wa kuamkia leo Tawi la Kagemu, Kata ya Kitendaguro Manispaa ya Bukoba na kumuua mwalimu ambaye ni...
11 years ago
Habarileo19 Jan
Mwendesha bodaboda auawa kwa mapanga
MWENDESHA bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Korotambe Kata ya Mwema wilayani Tarime, Nyang'era Kirutu Chacha (40) ameuawa baada ya kupigwa mapanga katika kijiji cha Magena akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo.
10 years ago
CloudsFM14 Aug
MGANGA WA KIENYEJI AUAWA KWA RISASI, MAPANGA
Watu wasiofahamika wamemvamia na kumuua mganga wa kienyeji, Salehe Garimoshi (65), mkazi wa Kijiji cha Milala wilayani Mpanda kwa kumpiga risasi kichwani kisha kuukatakata mwili wake kwa mapanga.
Taarifa kutoka eneo la tukio, zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi zinadai kuwa baada ya mganga huyo kuvamiwa na watu hao, mmoja wao aliyekuwa na bunduki, alimfyatulia risasi kichwani kisha kuamuru wenzake wamkatekate kwa mapanga.
Kaimu kamanda wa polisi wa Mkoa wa Katavi, Focus Malengo alisema jana...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia
11 years ago
CloudsFM25 Jul
KIKONGWE AUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA AKIWA NA WAJUKUU ZAKE WAWILI
Matukio ya mauaji ya wanawake vikongwe kutokana na ugomvi wa mashamba yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo huko katika kitongoji na kijiji cha Magwata kata ya Mwamalili katika manispaa ya Shinyanga,mwanamke aitwaye Sayi Nyenje(75) ameuawa kwa kukatwa mapanga shingoni na kiganjani akiwa amelala na wajukuu zake.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SAP Justus Kamugisha tukio hilo limetokea Julai 23,mwaka huu saa 11 alfajiri.
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f2kKwjtcNAI/Xn3m8E7LhaI/AAAAAAALlSc/b4cT0al0XuAaSyrFQV4tyP0K0pOzwqjqwCLcBGAsYHQ/s72-c/1bf8ccf2-4a41-4fbe-b096-b9b357137a8d.jpg)
JESHI LA POLISI DAR LAWASHIKILIA WATU WATANO WALIOMKATA MAPANGA NA KUMPORA OFISA WA SERIKALI, WALIOBIWA LAPTOP WAITWA POLISI
WATU Watano ambao ni maarufu kwa ukataji watu mapanga maeneo ya Tegeta jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa kutokana na uporaji walioufanya katika nyumba ya Ofisa wa Serikali Victor Nelson Nyirenda ambaye kabla ya kumpora walimkata mapanga kichwani.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja watuhumiwa hao leo Machi 27,2020 kuwa ni Juma John( 27), Japhet Charles( 25), Victor ...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Auawa baada ya kufumaniwa