Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari lanusurika kuchomwa moto

WANANCHI wa Kata ya Embaseni wilaya ya Meru jana walifanya fujo na kutaka kuchoma gari la Utalii ambalo limekodishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Halmashauri ya wilaya ya Meru kwa madai ya kuwa lilibeba kura hewa na kutaka kuziingiza vituoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Gari la wagonjwa lanusurika kuchomwa moto

GARI la wagonjwa lililotolewa msaada na Shirika la Africare kwa ajili ya Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga, Rukwa limenusurika kuchomwa moto na wananchi wa eneo hilo kutokana kudaiwa kuchangia...

 

9 years ago

Mtanzania

Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto

adveraNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.

Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.

Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba,  alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Basi la kampuni ya Hajis lanusurika kuteketea kwa moto!

DSC02328

Picha mbalimbali juu na chini zikionyesha kikosi cha zima moto manispaa ya Singida,wakijitahidi kuzima moto uliosababishwa na kazi ya kuchomomelea basi la kampuni ya Hajis ya mkoani Singida.Viti na sehemu kubwa ya ndani, imeungua vibaya.Tukio hilo limwetokea katika gereji ya kampuni ya Hajis iliyopo eneo la Utemini mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC02318

DSC02316

DSC02313

 

9 years ago

Global Publishers

Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto

BREAKINGNEWS3Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.

Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kuchomwa moto

KADUCHU Tototo (40) mkazi wa Kijiji cha Rugasha, Kata ya Kibingo wilayani Kyerwa, ameuawa na kuchomwa moto na mafuta ya petroli baada ya kutuhumiwa kuvunja duka la Gerald Daud na...

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani, Mtendaji wanusurika kuchomwa moto

DIWANI wa Isakamaliwa, Igunga, Doto Kwilasa, Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Erasto Shokoro, wajumbe sita wa serikali ya kijiji na mtu ambaye hajajulikana wamenusurika kuchomwa moto na wananchi. Wananchi hao waliwafungia...

 

11 years ago

Mwananchi

Anayedaiwa kuchomwa moto afariki dunia

Mwanafunzi wa kidato cha tatu Sekondari ya Mwanza, Annastazia Magafu anayedaiwa kuchomwa moto na baba yake, amefariki dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili wafa kwa kuchomwa moto

Wakazi wawili wa Kijiji cha Damwelu, Kata ya Ipande, Tarafa ya Itigi wilayani hapa wamefariki dunia baada ya kupigwa na kuchomwa moto na kundi la watu waliojitambulisha kuwa ni sungusungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani