Diwani amkana mtendaji kikaoni
DIWANI wa Ganana katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara, Zakayo Tarmo, amemkana mtendaji wake wa kata na kukataa kusomewa taarifa ya maendeleo akimtuhumu hampi ushirikiano katika utendaji ndani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Diwani, Mtendaji wanusurika kuchomwa moto
DIWANI wa Isakamaliwa, Igunga, Doto Kwilasa, Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Erasto Shokoro, wajumbe sita wa serikali ya kijiji na mtu ambaye hajajulikana wamenusurika kuchomwa moto na wananchi. Wananchi hao waliwafungia...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Diwani, Mtendaji warudisha fedha walizoiba Geita
SIKU chache baada ya Tanzania Daima kuandika habari iliyokuwa ikiwatuhumu Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maweda Gwesandili na Mtendaji wa Kata ya Isulwabutundwe, Sadik Masalu kuiba sh. milioni 1.2...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQBTcReSuSCirllfQZh8I9*ZL8ndqnbmWwzdUwTsxQs4wpxAkWOWHm1yN7XmqnPTRVnmdWZ-IQYhpCdAxCurK2w/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APOTEZA UTULIVU KIKAONI
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Chenge amtimua Mwingulu kikaoni
MAKOMBORA ya Kamati ya Bajeti yameilazimisha serikali kufyeka sh bilioni 170 kutoka katika matumizi yasiyo ya lazima na kuzipeleka kwenye maeneo yenye tija. Tanzania Daima, imedokezwa kuwa uamuzi huo wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-mS_dXUaz0ls/VAbis2tA3QI/AAAAAAAABmc/gUlF_BqjNmQ/s72-c/shibuda2.jpg)
Viongozi CHADEMA watifuana kikaoni
MBUNGE wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, ambaye ametoa notisi ya kuachana na chama hicho, amevurumishiana maneno na mbunge mwenzake, Sylvester Kasulumbayi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-mS_dXUaz0ls/VAbis2tA3QI/AAAAAAAABmc/gUlF_BqjNmQ/s1600/shibuda2.jpg)
Mvutano huo nusura uvunje kikao hicho, ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo alilazimika kuingilia kati ili kutuliza munkari.
Hali hiyo...
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mbunge anaswa akicheza kikaoni
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Watumishi Wizara ya Ardhi watimuliwa kikaoni
WATUMISHI kutoka Wizara ya Ardhi na wale wa Halmashauri ya Bagamoyo wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kutimuliwa katika kikao kilichoandaliwa na wakazi wa Kijiji cha Makaani Gama, Kata ya...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Mbunge abwagiwa mtoto kikaoni Dar
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni