Mbunge abwagiwa mtoto kikaoni Dar
Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Hawa Kundani amezua taharuki kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, baada ya kuvamia ghafla na kupiga kelele akidai kutelekezwa na mumewe ambaye ni Mbunge wa Dimani (CCM) visiwani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mbunge anaswa akicheza kikaoni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7qjRoWK1cWBrXWWEeJTpk9kO0JHTF*IhFo7aCGoztnO-ZiJf4Leg3MTTuRHmSd5HscnMfAzSjmsIzCxCQTSWnOu/penny.jpg?width=650)
PENNY ABWAGIWA KEKI YA KUSUTWA
10 years ago
Habarileo01 May
Mahakama yamkamua mbunge matunzo ya mtoto
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru Mbunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) kutoa Sh 200,000 kila mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto wake wa kiume, mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, anayedaiwa kumtelekeza.
10 years ago
Habarileo17 Jan
‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu
ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0HJ017G58s7A8gviKeFO13c2z1ebknymbUzBX6AVyiVOHI22VNXhj7x5mYPIFH5vv8K8DweradwO3YHFIynFiS/miss.jpg)
USHINDI MTOTO WA MBUNGE, MISS TANZANIA YATIKISIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQBTcReSuSCirllfQZh8I9*ZL8ndqnbmWwzdUwTsxQs4wpxAkWOWHm1yN7XmqnPTRVnmdWZ-IQYhpCdAxCurK2w/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APOTEZA UTULIVU KIKAONI
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Chenge amtimua Mwingulu kikaoni
MAKOMBORA ya Kamati ya Bajeti yameilazimisha serikali kufyeka sh bilioni 170 kutoka katika matumizi yasiyo ya lazima na kuzipeleka kwenye maeneo yenye tija. Tanzania Daima, imedokezwa kuwa uamuzi huo wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-mS_dXUaz0ls/VAbis2tA3QI/AAAAAAAABmc/gUlF_BqjNmQ/s72-c/shibuda2.jpg)
Viongozi CHADEMA watifuana kikaoni
MBUNGE wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, ambaye ametoa notisi ya kuachana na chama hicho, amevurumishiana maneno na mbunge mwenzake, Sylvester Kasulumbayi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-mS_dXUaz0ls/VAbis2tA3QI/AAAAAAAABmc/gUlF_BqjNmQ/s1600/shibuda2.jpg)
Mvutano huo nusura uvunje kikao hicho, ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo alilazimika kuingilia kati ili kutuliza munkari.
Hali hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Diwani amkana mtendaji kikaoni
DIWANI wa Ganana katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara, Zakayo Tarmo, amemkana mtendaji wake wa kata na kukataa kusomewa taarifa ya maendeleo akimtuhumu hampi ushirikiano katika utendaji ndani...