7 mbaroni kwa kujeruhi Mbunge
WATU saba wanashikiliwa na Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumjeruhi Mbunge wa Mbeya Vijijini, Luckson Mwanjale.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mwanamke mbaroni kwa kujeruhi kwa maji ya moto
JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi wa Misuna, katika Manispaa ya Singida, Mary Muna (31) kwa tuhuma ya kumuunguza kwa maji ya moto mwilini mwanamke mwenzake kutokana na wivu...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Mbunge wa Ubungo Mbaroni kwa Amri ya DC. Makonda
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), akipanda kwenye apelekwe kituoni.
Wananchi wakitaharuki.
Mbunge Saed Kubenea mwenye (shati jeusi) wakitofautina na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC. Paul Makonda (mwenye fulana ya mistari).
Hali ya sintofahamu.
Kubenea akizungumza jambo.
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) jana alikamatwa na polisi eneo la viwanda (EPZA) Mabibo kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Tukio hilo lilitokea kukiwa na mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1800...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-93KNme6tQ2I/Vm9iVej5hRI/AAAAAAAAXcI/QvnNdhy3d3M/s72-c/Kubenea-4-620x308.jpg)
Mbunge wa Ubungo mbaroni kwa amri ya Makonda
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Cheka kizimbani kwa kujeruhi
BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka (30) maarufu kama SMG, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kujibu shitaka la kujeruhi. Mbele ya hakimu...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Diwani kortini kwa kujeruhi watendaji
DIWANI wa Kata ya Mwangeza katika Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Petro Mliga (50) pamoja na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida wakikabiliwa na shitaka la kupiga na kujeruhi watendaji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CcVG7ou8sBV*dzJNXm0lnMPeCN*klrcMBkXvJYrGQCpZtQzeLbuJZShsgDrmJ-pGaqIlGZ*wle4vNkLyNminqqRosq6yc3G8/1.jpg?width=650)
MSANII BEN ASAKWA KWA KUJERUHI
11 years ago
Habarileo05 Aug
Waumini Moravian kizimbani kwa kujeruhi
WAUMINI watatu wa Kanisa la Moravian Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu mashitaka ya kumjeruhi askari wa Jeshi la Polisi.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu
JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Kizimbani kwa kujeruhi, kumtembeza utupu mwenzake
ZAITUNI Ally (30) mkazi wa manispaa ya Morogoro amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi na kumdhalilisha mwanamke mwenzie kwa kumtembeza mtupu mbele...