Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi. Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa. Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Mdee (wa nne kulia) na watuhumiwa wenzake wakielekea mahakamani. Watuhumiwa wakishuka chumba cha mahakama.…

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, wenzake 24 rumande kwa saa nne

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine 24 juzi walijikuta wakiwekwa mikononi mwa polisi kwa saa nne kutokana na purukushani za uandikishaji wa wapigakura katika mfumo wa BVR.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Pinda ammwagia sifa Peter Msigwa

>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemwagia sifa mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akisema amekuwa kiongozi wa kwanza kuchangia vitanda 30 katika Hospitali ya Frelimo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

 

10 years ago

Habarileo

Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi

MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa

Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?

 

11 years ago

IPPmedia

Rev Peter Msigwa, Shadow Minister for Natural Resources and Tourism


IPPmedia
Rev Peter Msigwa, Shadow Minister for Natural Resources and Tourism
IPPmedia
The government is investigating several hunting companies operating in the country over suspected violation of the Wildlife Conservation Act no 5 of 2009. The firms are accused of hunting young zebras, warthogs, and other protected species and of using ...
MP wants all hunting companies probedDaily News

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Peter Msigwa: Nini Mwakalebela, hata Kinana aje atakimbia tu hapa

Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutaja siri ya chama hicho kupoteza majimbo mbalimbali, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema chama hicho kisahau kuchukua jimbo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani