Mh. Peter Msigwa: CCM haina dira
![](http://img.youtube.com/vi/vOVG6dVoykM/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Ramadhani-Mungi-november12-2014_0.jpg)
PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi. Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa. Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Pinda ammwagia sifa Peter Msigwa
>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemwagia sifa mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akisema amekuwa kiongozi wa kwanza kuchangia vitanda 30 katika Hospitali ya Frelimo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa
Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?
9 years ago
Vijimambo11 years ago
IPPmedia07 Jul
Rev Peter Msigwa, Shadow Minister for Natural Resources and Tourism
IPPmedia
IPPmedia
The government is investigating several hunting companies operating in the country over suspected violation of the Wildlife Conservation Act no 5 of 2009. The firms are accused of hunting young zebras, warthogs, and other protected species and of using ...
MP wants all hunting companies probedDaily News
all 2
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Peter Msigwa: Nini Mwakalebela, hata Kinana aje atakimbia tu hapa
Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutaja siri ya chama hicho kupoteza majimbo mbalimbali, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema chama hicho kisahau kuchukua jimbo hilo.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Msigwa: Waliojitangaza kuwania urais hawana dira
Baada ya makada mbalimbali wa CCM kutangaza nia ya kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa anasema bado hajaona mtu mwenye sifa ya kupewa nafasi hiyo kubwa nchini miongoni mwa waliojitokeza.
11 years ago
MichuziMBUNGE PETER MSIGWA AKABIDHI MSAADA WA VYAKULA CHUO CHA ISLAMIC CENTER
Na Denis Mlowe,Iringa MBUNGE wa Iringa Mjini(Chadema) Mchungaji Peter Msigwa amekikabidhi chuo cha Kitanzania...
11 years ago
Dewji Blog14 May
Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa
Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania