Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh. Peter Msigwa: CCM haina dira

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi. Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa. Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ammwagia sifa Peter Msigwa

>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemwagia sifa mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akisema amekuwa kiongozi wa kwanza kuchangia vitanda 30 katika Hospitali ya Frelimo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa

Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?

 

11 years ago

IPPmedia

Rev Peter Msigwa, Shadow Minister for Natural Resources and Tourism


IPPmedia
Rev Peter Msigwa, Shadow Minister for Natural Resources and Tourism
IPPmedia
The government is investigating several hunting companies operating in the country over suspected violation of the Wildlife Conservation Act no 5 of 2009. The firms are accused of hunting young zebras, warthogs, and other protected species and of using ...
MP wants all hunting companies probedDaily News

all 2

 

10 years ago

Mwananchi

Peter Msigwa: Nini Mwakalebela, hata Kinana aje atakimbia tu hapa

Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutaja siri ya chama hicho kupoteza majimbo mbalimbali, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema chama hicho kisahau kuchukua jimbo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Msigwa: Waliojitangaza kuwania urais hawana dira

Baada ya makada mbalimbali wa CCM kutangaza nia ya kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa anasema bado hajaona mtu mwenye sifa ya kupewa nafasi hiyo kubwa nchini miongoni mwa waliojitokeza.

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE PETER MSIGWA AKABIDHI MSAADA WA VYAKULA CHUO CHA ISLAMIC CENTER

 Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akikabidhi msaada wa Sukari, kwa Kaimu Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Abubakari Chalamila kwa ajili ya kituo cha Kitanzani Islamic center kilichoko mjini Iringa. Baadhi ya misaada iliyotoa mbunge wa Iringa mjini mch. Peter Msigwa kwa kituo cha  chuo cha Kitanzani Islamic center kilichoko mjini Iringa.  (Picha zote na Denis Mlowe). 
 Na Denis Mlowe,Iringa MBUNGE wa Iringa Mjini(Chadema) Mchungaji Peter Msigwa amekikabidhi chuo cha Kitanzania...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa

Peter-Msigwa1

Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani