Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema, wenzake 24 rumande kwa saa nne

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine 24 juzi walijikuta wakiwekwa mikononi mwa polisi kwa saa nne kutokana na purukushani za uandikishaji wa wapigakura katika mfumo wa BVR.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lema, wenzake waachiwa kwa dhamana

Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema na wenzake wanne wameachiliwa kwa dhamana leo baada ya kushikiliwa na polisi tangu jana.

 

9 years ago

StarTV

Maafisa ardhi Kinondoni wawekwa rumande kwa saa 6

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameagiza kuwekwa ndani kwa Maofisa Ardhi wote wa Wilaya ya Kinondoni kwa saa sita kutokana na kuchelewa kufika katika eneo  la Sangwe  Kata ya Wazo   walipokuwa wamekubaliana  kukutana kwa ajili kutafuta suluhisho la migogoro  ardhi  katika eneo hilo.

Kwa Mujibu wa Makonda, Kitendo cha Maofisa ardhi hao kuchelewa katika eneo la tukio ni utovu wa Nidhamu na ukiukaji wa maadili ya kazi ambayo yanazidi kuwafanya wananchi kuishi  kwa shida kutokana na...

 

9 years ago

GPL

PETER MSIGWA NA WENZAKE 61 WASWEKWA RUMANDE

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi. Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa. Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye...

 

10 years ago

GPL

HALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Mdee (wa nne kulia) na watuhumiwa wenzake wakielekea mahakamani. Watuhumiwa wakishuka chumba cha mahakama.…

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali yafunga barabara kwa saa nne Kibaha

Mamia ya abiria waliokua wanasafiri kupitia barabara kuu  ya Dar esalam - Morogoro leo wamekwama kwa zaidi saa nne katika eneo la Bamba Kata ya Kongowe mjini Kibaha baada ya magari matano kugongana na kisha kuziba barabara.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawazo kuagwa kwa saa nne jijini Mwanza

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa kitaifa leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini hapa tukio litakalotumia saa nne na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa kitaifa wa chama hicho.

 

9 years ago

Mwananchi

Mvua yaleta maafa Tanga, yanyesha kwa saa nne mfululizo

Mvua zilizonyesha kwa saa nne mfululizo  jijini Tanga zimesababisha kuongezeka kwa maeneo yaliyoathirika na mafuriko huku baadhi ya nyumba zikibomoka na idadi ya waliolazimika kuhama makazi ikiongezeka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani