Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema, wenzake waachiwa kwa dhamana

Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema na wenzake wanne wameachiliwa kwa dhamana leo baada ya kushikiliwa na polisi tangu jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA

WAFUASI 29 kati ya 30 waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam wameachiwa leo baada ya kutimiza masharti ya dhamana. Wafuasi hao walikamatwa majuzi huko Mtoni Mtongani, Dar wakati Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba akielekea Mbagala kuwataka wananchi watawanyike baada ya maandamano ya chama hicho kuzuiliwa na jeshi la polisi. Wafuasi hao 29 wameachiwa katika Mahakama ya Hakimu...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanachama wa Chadema waachiwa kwa dhamana

Wanachama watano wa Chadema pamoja na watu wengine watatu wasio raia wa Tanzania wanaokabiliwa na mashtaka ya makosa ya uhalifu wa kimtandao, wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamilisha masharti waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

9 years ago

Michuzi

HASSANOO NA WENZAKE WAACHIWA NA KUKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI


Na Mwene Nantaha wa Blogu ya Jamii.  Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoani Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo (44) na wenzake leo waliachiwa huru na kisha kukamatwa  na kushtakiwa upya kwa mashtaka ya uhujumu uchumi. 
Kadhalika Hasanoo alifutiwa mashitaka matatu ya uhujumu uchumi pamoja na kusafirisha pembe za ndovu kutoka Dar es Salaam kwenda Hong Kong, zenye thamani ya Sh. bilioni 1.1, chini ya kifungu cha 91 kidogo cha (1) mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba....

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, wenzake 24 rumande kwa saa nne

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine 24 juzi walijikuta wakiwekwa mikononi mwa polisi kwa saa nne kutokana na purukushani za uandikishaji wa wapigakura katika mfumo wa BVR.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba na wenzake waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa  Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi  CUF na wafuasi 30.

 

10 years ago

GPL

MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee. Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na wenzake 8 leo wamepata dhamana katika Mahakama ya Kisutu, Dar. Kesi yao kutajwa tena Oktoba 21, 2014. Siku ya jana washtakiwa hao walipanda kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Kaluyenda na kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali Mkuu, Kangola aliwataja washtakiwa kuwa ni Mbunge wa Kawe, Mdee, Rose Moshi, Penina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kujipatia mil. 128 kwa udanganyifu waachiwa huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watu wawili waliokuwa wakikabiliwa na kosa la kujipatia sh milioni 128.3 kwa njia ya udanganyifu pamoja na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa simu....

 

10 years ago

Mwananchi

‘Panya Road’ 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu  Dar es Salaam limewaachia huru vijana 119 wanaodaiwa  kujihusisha na vitendo vya kihalifu  maarufu kama ‘panya road’  baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

 

10 years ago

Vijimambo

Panya Road 119 Waachiwa Kwa Kukosa Ushahidi, 959 Wafikishwa Mahakani

Vijana 119 ambao walikamatwa katika msako wa Panya Road Wameachiwa na Polisi baada ya Kukosa Ushahidi wa Moja kwa Moja ambao unawahusisha na tukio hilo ..Kamanda wa Polisi kanda ya Dar salaam Kova amesema japo wamewaachia wataendelea kufuatilia nyendo zao huko mtaani ,Pamoja na Kuwaachia hao kamanda Kova Amesema Vijana 959 wamepandishwa mahakamani kwa tuhuma hizo za kujihushisha na kikundi cha panya Road

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani