HASSANOO NA WENZAKE WAACHIWA NA KUKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
Na Mwene Nantaha wa Blogu ya Jamii. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoani Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo (44) na wenzake leo waliachiwa huru na kisha kukamatwa na kushtakiwa upya kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Kadhalika Hasanoo alifutiwa mashitaka matatu ya uhujumu uchumi pamoja na kusafirisha pembe za ndovu kutoka Dar es Salaam kwenda Hong Kong, zenye thamani ya Sh. bilioni 1.1, chini ya kifungu cha 91 kidogo cha (1) mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhSgqy-e9Cg/XrqHtw2h4MI/AAAAAAALp6I/6ou3pmxfTtIJxAdEpWgFthFf52gKil3xACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B2.18.16%2BPM.jpeg)
MFANYABIASHARA LEMA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhSgqy-e9Cg/XrqHtw2h4MI/AAAAAAALp6I/6ou3pmxfTtIJxAdEpWgFthFf52gKil3xACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B2.18.16%2BPM.jpeg)
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Vicky Mwaikambo na Wakili wa serikali mwamdamizi, Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu, kusafirisha magogo, kugushi, kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s72-c/index%25281%2529.jpg)
TAKUKURU KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI SABA TPA ,WAKILI WA KUJITEGEMA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA RUSHWA, UHUJUMU UCHUMI NA WIZI WA SH.BILIONI NANE
![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s1600/index%25281%2529.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) pamoja na Wakili wa Kujitegemea kutoka Kampuni ya Mnengele &Associates na ELA Advocatee watafikishwa mahakamani wakati wowote kwa kushtakiwa kwa tuhuma za makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hayo yameelezwa leo Juni 12 mwaka 2020 na Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza Daud Ndyamukama kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo amefafanua watumishi hao tayari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
TAKUKURU MANYARA YAMPANDISHA MAHAKAMANI MMILIKI WA KITUO CHA MAFUTA CHA SIMON LEMEYA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s320/hCWUmxf2_400x400.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Simanjiro, Manyara kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itamfikisha katika Mahakama ya Wilaya mmiliki wa Kituo cha mafuta cha Simon Lemeya kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Lemeya atafikishwa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro leo Juni 22 kwa makosa ya kughushi, matumizi ya nyaraka, kudanganya na kuisababishia serikali hasara ya Sh Milioni 5,609,000 kinyume cha sheria ya uhujumi uchumi Cap 200 marejeo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uP4wXJYslh0/Xto-EQ7AerI/AAAAAAALssw/zcI7hN2RqvUoj2aUAmeUVkJ7V2ee9gemwCLcBGAsYHQ/s72-c/3506c9e9-be14-46d5-91b1-e2cc16b8f4d7%2B%25281%2529.jpg)
MKURUGNZI MKUU MSD,MKUU WW LOJISTIKI WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKIKABILIWA NA KESI YA TUHUMA YA UHUJUMU UCHUMI
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari kuu ya Dawa (MSD) nchini, Laurean Bwanakunu na Mkuu wa Lojistiki wa bohari hiyo Byekwaso Tabura wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matano likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni bilioni 3.8
Mashtaka mengine ni kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 5, 2020, na...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Lema, wenzake waachiwa kwa dhamana
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
Kigogo kortini kwa uhujumu uchumi
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoa wa Mbeya, imempandisha kizimbani, Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Gerishon Bwire.
Bwire anakabiliwa na makosa matatu tofauti, ambayo ni kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri wake, ubadhirifu na kuisababishia hasara mamlaka.
Mwendesha mashitaka wa TAKUKURU, Nimrod Mafwele, alidai mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa Mbeya, James Mhanusi, kuwa Bwire alifanya makosa hayo Mei mwaka jana,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XcXFLstrWuQ/XsfFB8DhTyI/AAAAAAALrQQ/Ymv8VuY5Oo8AqW0WFJcBDGBpIsFBwf4YQCLcBGAsYHQ/s72-c/cadb4bcc-3e61-4c51-9746-8a2bd82d70f6.jpg)
MFANYAKAZI KAMPUNI YA GLOTEL LTD APANDISHWA KIZIMBANI KWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Faraji Nguka amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vicky Mwaikambo kuwa, kati ya Juni Mosi na Septemba 26 mwaka 2019 mshtakiwa aliiba sh. milioni 158 kutoka kwenye kampuni ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s72-c/IMG_8312.jpg)
MAHAKAMA KUU YATOA DHAMANA KWA WATUHUMIWA WATATU WA UHUJUMU UCHUMI WA TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s640/IMG_8312.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/---LcZr__g8E/VnAO7pT0QZI/AAAAAAAIMk0/o5ArKHSkxoM/s640/IMG_8313.jpg)
Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, aliyekuwa naibu Kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki (Kulia) akiwa na wenzake aliyekuwa Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Habibu Mponezya na Bulton Mponezya wakiwa katika Mahakama Kuu Tanzania jijini Dar es Salaam leo wakisomewa shtaka linalowakikabili la makosa ya jinai na uhujumu uchumi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VLUlOilg1yc/VnAPC-wi3JI/AAAAAAAIMlI/JRpaSFrgNtM/s640/IMG_8315.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...