Mvua yaleta maafa Tanga, yanyesha kwa saa nne mfululizo
Mvua zilizonyesha kwa saa nne mfululizo jijini Tanga zimesababisha kuongezeka kwa maeneo yaliyoathirika na mafuriko huku baadhi ya nyumba zikibomoka na idadi ya waliolazimika kuhama makazi ikiongezeka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
TMA YATOA TAHADHARI YA KUNYESHA MVUA KUBWA KWA SIKU NNE MFULULIZO

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imetoa tahadhari ya kunyesha kwa Mvua kubwa ndani ya siku nne kuanzia kesho Aprili 17, 2020.
Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 16, 2020 jijini Dar es Salaam na Meneja wa Kituo Kikuu cha Utabiri wa Mamlaka hiyo, Samwel Mbuya ambae amesema amesema mvua hiyo ya siku nne inatarajia kunyesha kuanzia ya April 17 hadi 20 mwaka huu.
Aidha ametaja maeneo yanayotarajia kupata vipindi vya mvua kubwa ni pamoja na Mkoa wa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
Mvua kubwa iliyonyesha juzi katika Kijiji cha Kasense, imesababisha hasara ya Sh88 milioni, baada ya kuharibu nyumba mbalimbali zikiwamo za wanakijiji, taasisi na nyumba za ibada, likiwapo Kanisa Katoliki.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mvua yaleta maafa Angola
Watu 60 wakiwemo watoto 35 wamefariki dunia kufuatia mvua nyingi iliyonyesha nchini Angola.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Mvua yaleta maafa Lugoba
MVUA iliyoambata na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni imeezua nyumba zaidi ya 150, huku kati ya hizo kuta zake zikiwa zimeanguka na kuwafanya wahanga wa tukio hilo kutafuta msaada wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji zimesababisha maafa makubwa ambapo watu kadhaa wamefariki na wengine kupoteza makazi yao.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mvua yaleta maafa, yaezua nyumba 83 Meatu
>Kaya 83 zimeezuliwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, huku takriban ekari 15 za mazao mbalimbali zikiharibiwa.
10 years ago
GPL
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
Watu 35 wamefariki dunia na wengine 55 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. (CHANZO: RADIO1 STEREO)
10 years ago
Michuzi.jpg)
mvua ya mawe yanyesha jijini arusha leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA





Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10