Mvua yaleta maafa, yaezua nyumba 83 Meatu
>Kaya 83 zimeezuliwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, huku takriban ekari 15 za mazao mbalimbali zikiharibiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mvua yaua, yaezua nyumba 62
11 years ago
Habarileo14 Feb
Mvua yaua mmoja, yaezua nyumba 85
MVUA zimeleta maafa mkoani Kilimanjaro baada ya mtu mmoja kufariki dunia sanjari na nyumba zaidi ya 85 kuezuliwa mapaa. Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga, alisema kaya takribani 85 zimekosa makazi. Aidha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kibohehe, na Shule ya Msingi Kishare wamekosa pa kusomea kutokana na baadhi ya madarasa kuezuliwa mapaa kwa upepo.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Mvua yaleta maafa Lugoba
MVUA iliyoambata na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni imeezua nyumba zaidi ya 150, huku kati ya hizo kuta zake zikiwa zimeanguka na kuwafanya wahanga wa tukio hilo kutafuta msaada wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mvua yaleta maafa Angola
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Mvua yaleta maafa Tanga, yanyesha kwa saa nne mfululizo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
News alert:mvua za masika zasababisha maafa, uharibifu wa nyumba na miundombinu leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s1600/unnamed%2B(2).jpg)