mvua ya mawe yanyesha jijini arusha leo
.jpg)
Magari yakipita katika moja ya barabara za jiji la Arusha leo huku mvua kubwa ya mawe ikinyesha. Hakuna madhara ya aina yoyote yaliyoripotiwa hadi sasa ila baridi ni kali kiasi
Sehemu ya vidonge vya barafu vilivyonyesha jijini Arusha leo
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Mvua yaleta maafa Tanga, yanyesha kwa saa nne mfululizo
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Rais Kikwete afariji waliopatwa na maafa ya Mvua ya Mawe,Kahama leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa Mvua ya Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, leo Machi 12,2015.
Maelfu ya Wakazi wa Kahama wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kutembelea na kujionea athari ya Mvua ya Mawe kwa wananchi wa Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AFARIJI WALIOPATWA NA MAAFA YA MVUA YA MAWE KAHAMA LEO
9 years ago
Michuzi
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
10 years ago
Michuzi
TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO

Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.

Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.

Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.

Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.

Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...
5 years ago
CCM Blog
RAIS DK. MAGUFULI AZURU MAENEO YENYE MAWE NDANI YA IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO




11 years ago
Michuzi.jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPLTASWIRA YA MVUA JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPL
MADHARA YA MVUA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR