Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi06 Feb
MCHUNGAJI MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI, AACHIWA KWA DHAMANA NI KUTOKANA NA KESI YA KUJERIHI
10 years ago
Habarileo08 Oct
Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi
MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mwakalebela apinga ushindi wa Msigwa kortini
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela, amekwenda mahakamani kupinga matokeo ya ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Msigwa.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Mwakalebela atinga kortini kumpinga Msigwa
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Kasulumbayi: Katiba itambue maeneo ya wafugaji
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Sylvester Kasulumbayi, amesema ni vema wafugaji wakatambuliwa kikatiba na maeneo yao yakatambuliwa kisheria. Kasulumbayi alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia mada mbalimbali katika mkutano wa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
SYLVESTER KASULUMBAYI: Mifugo si kero, ni utajiri
“ILI taifa liweze kuwa na uchumi uliosimama na maendeleo ya kweli ni lazima utawala uliopo madarakani uhakikishe unawapatia wananchi elimu kulingana na kile wanachokizalisha. Hiyo ni kauli ya Mbunge wa...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Hasanoo huru kwa dhamana