Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SYLVESTER KASULUMBAYI: Mifugo si kero, ni utajiri

“ILI taifa liweze kuwa na uchumi uliosimama na maendeleo ya kweli ni lazima utawala uliopo madarakani uhakikishe unawapatia wananchi elimu kulingana na kile wanachokizalisha. Hiyo ni kauli ya Mbunge wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kasulumbayi: Katiba itambue maeneo ya wafugaji

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Sylvester Kasulumbayi, amesema ni vema wafugaji wakatambuliwa kikatiba na maeneo yao yakatambuliwa kisheria. Kasulumbayi alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia mada mbalimbali katika mkutano wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...

 

10 years ago

Bongo5

Sylvester Stallone atangaza ujio wa filamu mpya ya ‘Rambo’

Sylvester Stallone ametangaza kwenye Twitter kuhusu ujio wa filamu mpya ya Rambo. Filamu ya kwanza ya Rambo, First Blood ilitoka mwaka 1982. Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka 68 ataigiza tena kama John Rambo kwenye muendelezo wa tano wa filamu hiyo ambayo haijulikani itatoka lini.

 

10 years ago

Dewji Blog

PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo

Marsh (kushoto) enzi za Uhai wake akiwa na kocha mkuu wa timu ya Taifa wakatoi huo Pousan

Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog,  ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.

Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu  ya maradhi...

 

10 years ago

Michuzi

Kocha wa Zamani wa Taifa Stars,marehemu Sylvester Marsh azikwa leo jijini Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliekuwa Kocha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), marehemu Sylvester Balunzi Mashishigulu ‘Marsh’, leo kwenye uwanja wa Shule ya msingi Mirongo,Jijini Mwanza.Marehemu Marsh amezikwa kwenye makaburi ya Igoma nje kidogo ya Jiji la Mwanza.Picha zote na G Sengo Blog.Familia ya Marehemu Sylvester Balunzi Mashishigulu ‘Marsh’, ikiwa kwenye huzuni kubwa baada ya kuondokewa na mpendwa wao,wakati wa ibada maalum ya kumuada...

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA VICKY...

Stori: Jelard Lucas
WANAWAKE na maendeleo, tufanye kazi, tusonge mbele, yelele…yelele… Hii sehemu ya mashairi ya wimbo wa staa wa muziki wa kizazi kipya na Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM), Geita, Vicky Kamata anayetajwa kuwa na utajiri balaa. UWAZI LINA KILA KITU
Vicky amepata mafanikio makubwa ambayo kila mwanamke Tanzania angependa kuyapata. Gazeti hili lilimchimba kwa kina na kupata utajiri wote alionao kwa sasa....

 

10 years ago

Mwananchi

Duara la Utajiri

Niliwaza kwa nini mtu kama Eric anamtaja Mungu. Akili yangu daima nilijua kuwa hakuna tajiri katika ulimwengu huu aliupata kwa kumtumaini Mungu na kumwamini maana ndiye chanzo cha mafanikio ya mwanadamu. Usiku ule sikusumbuka sana kwani macho na masikio yangu vilimwona na kumsikia Eric ambaye sasa niliishi naye  chumbani mwangu kupitia santuri. Hata hivyo moyo wangu ulihitaji guso halisi la Eric. Uzito wa upweke na kukiona kitanda ilikuwa ni tabia ambayo ilienea baada ya kupokea barua za...

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA DIDA GUMZO!

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
AMINI usiamini lakini ndivyo ilivyo! Utajiri wa Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ umeibua gumzo midomoni mwa watu wakidai kuna walakini juu ya upatikanaji wake. Toyota Verossa ikiwa imepaki pembeni ya ghorofa analodaiwa kumiliki Dida. Kwa mujibu wa chanzo makini, Dida ana utajiri mnono lakini anafanya siri ili watu wasiulize alikoupatia kwa...

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!

Stori: Shakoor Jongo
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake. HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani