UTAJIRI WA VICKY...
Stori: Jelard Lucas WANAWAKE na maendeleo, tufanye kazi, tusonge mbele, yelele…yelele… Hii sehemu ya mashairi ya wimbo wa staa wa muziki wa kizazi kipya na Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM), Geita, Vicky Kamata anayetajwa kuwa na utajiri balaa. UWAZI LINA KILA KITU Vicky amepata mafanikio makubwa ambayo kila mwanamke Tanzania angependa kuyapata. Gazeti hili lilimchimba kwa kina na kupata utajiri wote alionao kwa sasa....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Vicky Kamata adakwa polisi
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...
11 years ago
GPLVICKY KAMATA AFANYIWA SHEREHE
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’
11 years ago
MwananchiMbunge Vicky Kamata augua
11 years ago
GPLHARUSI YA VICKY KAMATA MIL. 96
11 years ago
GPLSABABU 3 NDOA YA VICKY KAMATA KUYEYUKA
11 years ago
GPLWAPAMBE WAMFUATA VICKY KAMATA WODINI
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Ujumbe wa Vicky Ntetema kwa Rais Kikwete
Kilio kwa mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Mheshimiwa Rais Dakta Jakaya Kikwete,
Mheshimiwa Rais nakuja kwako kama mwanamke na mama mwenye watoto wenye albinism wanaowindwa kama wanyama na wakatili ili wachukue viungo vyao na kuwapelekea waganga wa kienyeji ambao wanavitumia kwa shughuli za kishirikina.
Leo umetuusia mengi mazuri kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake yaliyofanyika kitaifa huko Morogoro. Umeyaweka masuala yote vizuri sana katika jitihada...
11 years ago
GPLNDOA YA MIL. 96 YA VICKY KAMATA HATIHATI KUFUNGWA