Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!

Stori: Shakoor Jongo
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake. HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania

<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.

Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.

“Masanja sio yule...

 

11 years ago

GPL

Aveva kufuru

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC. Omary Mdose na Said Ally
KAZI imeanza babake! Wakati Yanga wakiwa bize na mazoezi baada ya ujio wa Kocha Marcio Maximo, upande wa pili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, naye ameanza kuonyesha makali kwa vitendo. Aveva ambaye amechukua madaraka hivi karibuni, ameanza kwa kulipa mishahara ya wachezaji wote wa timu hiyo na benchi la ufundi,...

 

11 years ago

GPL

MAHEKALU YA MAASKOFU KUFURU

Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’
MTU akifanya jambo la kupita kawaida lakini zuri watu husema ‘amekufuru’, yaani amefanya kitu kizuri! Imezoeleka hivyo. Sasa kauli hiyo imekuja baada ya Uwazi kufanya uchunguzi wa kina na kuyabaini mahekalu ya maaskofu wa Bongo kwamba nayo ni kufuru! Katika uchunguzi huo, Uwazi lilitumia muda wa wiki mbili na kubaini kwamba, watumishi hao wa Mungu wapo vizuri na lile...

 

9 years ago

Mwananchi

Mshahara wa Messi kufuru

Manchester, England, Si mchezo! Ndivyo, inavyofaa kueleza mshahara wa Sh2.6 bilioni atakaolipwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi endapo ataamua kutua Manchester City.

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA WEMA KUFURU!

Mkurugenzi  wa Endless Fame Wema Sepetu akiwa amesimama mbele ya meza iliyokuwa imesheheni keki alizokuwa amendaliwa katika sherehe ya kuadhimisha   siku yake ya kuzaliwa iliyofanyikia ndani ya Ukumbi wa Wema Sepetu Hall, uliyopo ndani ya jengo jipya la Millenium Tower. Meneja wa Wema (kushoto), Martin Kadinda, akimsaidia kukata moja ya  keki zilizokuwa zimeandaliwa muda mfupi kabla ya kuanza kuwalisha ndungu jamaa na...

 

10 years ago

GPL

Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru

Mshambuliaji wa Yanga raia wa Burundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge,
Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Yanga kumuongezea mkataba mshambuliaji wake raia wa Burundi, Amissi Tambwe, ameibuka na kudai kuwa thamani yake kwa sasa imeongezaka na kuwa miongoni mwa wachezaji wa bei mbaya katika kikosi hicho. Yanga ilimuongezea mshambuliaji huyo mkataba wa mwaka mmoja na nusu kubaki klabuni hapo ambapo ataitumikia mpaka mwaka...

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA KANYE WEST KUFURU

Matukio mbalimbali ya sherehe hiyo katika picha. Wageni waalikwa wakiwa ndani ya ndege wakielekea Florence, Italia kwa ajili ya ndoa ya Kim na Kanye.…

 

11 years ago

GPL

PASTOR MYAMBA NDOA YA KUFURU!

Stori:  Joseph Shaluwa na Gladness Mallya KUFURU! Staa wa filamu za Kibongo, anayepatia zaidi kuigiza kama Mchungaji, Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amefunga ndoa ya kihistoria ambayo imeteketeza mamilioni kuikamilisha, Risasi Mchanganyiko lina sinema nzima. Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’na mkewe Praxceda Kassela wakiwa wenye nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa. Pastor Myamba amefunga ndoa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wafanya kufuru Bukombe

>Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimevamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za kivita pamoja na mabomu, na kuwaua askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani