Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru
![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROZE3OFD*ikU-*qhJXVZqCErgJnTWTlaH-ThDz4mG1*Jk-sjSUSFukF3mvAHg6*ppq*1Cp1NGZPwPNIYACOKLdq/gfhgfgh.gif?width=650)
Mshambuliaji wa Yanga raia wa Burundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam SIKU chache baada ya Yanga kumuongezea mkataba mshambuliaji wake raia wa Burundi, Amissi Tambwe, ameibuka na kudai kuwa thamani yake kwa sasa imeongezaka na kuwa miongoni mwa wachezaji wa bei mbaya katika kikosi hicho. Yanga ilimuongezea mshambuliaji huyo mkataba wa mwaka mmoja na nusu kubaki klabuni hapo ambapo ataitumikia mpaka mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA KUFURU TAIFA
9 years ago
Habarileo04 Dec
Tambwe aongeza majeruhi Yanga
WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Tambwe 4, Yanga 8, Julio bure
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Tambwe aanza mavitu Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Yanga, Mrundi Amis Tambwe, jana alianza kujifua na kikosi hicho huku akionekana kuanza kwa kasi baada ya kuinogesha sehemu ya ushambuliaji ya timu hiyo mazoezini.
Tambwe alifanya uamuzi wa kushtukiza Jumatatu iliyopita baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja Yanga, kufuatia kusitishiwa mkataba wake na viongozi wa Simba.
Katika mazoezi hayo ya Yanga yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Tambwe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsODdanfIL8jvr0Xdh9hcysXxfyyFoNKa6htsM4X4RM-LS7TjFo61a2kpe9zNgGZ0Spd1*Gwguh1ug7b3w1SQkKm3/Tambwecopy.jpg?width=650)
Tambwe: Yanga njooni tuzungumze
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Tambwe awapa raha Yanga
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tambwe asaini Yanga, Maximo nje
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*OHZ3TqPjn-AUggCuZNv5RFnB8u1DpMzfzRmYS7hlJxJVjUkDOyn1vB5NavTzFCmiwihj5WX6WX*F7*DDGCqd7/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj362YjnsfjMjGke3f2V42yAab4D*FYpixDUrUv4aK5Kwq*6*KTI*Tf14GVbOujFUZXNDMVUrpf8MMwe7UIQimLI/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe: Yanga hakuna beki wa kunizuia