YANGA YAFANYA KUFURU TAIFA
TIMU ya Yanga SC leo imefanya kufuru baada ya kuishushia kichapo cha bao 7-0 timu ya Komorozine ya Comoro kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam! Mabao ya Yanga yamewekwa kimiani na Mrisho Ngassa dakika 13, 65 na 68, Didier Kavumbagu dakika ya 58 na 81, Nadir Cannavaro dakika ya 20 na Hamis Kiiza aliyefunga dakika ya 59. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA, YAIGONGA PRISONS 5 - 0
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROZE3OFD*ikU-*qhJXVZqCErgJnTWTlaH-ThDz4mG1*Jk-sjSUSFukF3mvAHg6*ppq*1Cp1NGZPwPNIYACOKLdq/gfhgfgh.gif?width=650)
Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Wawania urais kufuru tupu, wamenajisi roho ya taifa
TUSIDANGANYANE; wawania urais 42 kwenye kinyang’anyiro hicho ni wengi mno kwa kigezo chochote kwa
Joseph Mihangwa
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Taifa-Stars-1.jpg)
TAIFA STARS YAFANYA MAZOEZI YA MWISHO SAUZ
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Uzh3qj0hkq0/VMPZostOFqI/AAAAAAADWXA/Z-bZfUHkRhA/s72-c/dannymrwanda.jpg)
YANGA SC YAFANYA KWELI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uzh3qj0hkq0/VMPZostOFqI/AAAAAAADWXA/Z-bZfUHkRhA/s1600/dannymrwanda.jpg)
Mrwanda alifunga bao hilo dakika ya 42 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Tony Kavishe wa Polisi Moro kufuatia shuti kali la krosi ya beki wa pembeni kulia Juma Abdul.Hilo ni bao la tano kwa Mrwanda baada ya kufunga pia mabao manne katika...
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA MABADILIKO YA KATIBA YAO
10 years ago
Vijimambo05 Feb
YANGA SC YA TAIFA SIYO YA TANGA COASTAL WAKAA NYUMBANI NA KUIPISHA YANGA IFANYE YAKE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Cannavaro-6.jpg)
Ushindi huo umeifanya Yanga SCiwang’oekileleni Azam FC ikifikisha pointi 22,moja nyuma ya wanalambalamba ambao hata hivyo, wana mechi moja mkokoni.Katika mechi hiyo ya kiporo ya raundi ya 10 iliyopaswa kuchezwa jijini hapa Januari 10 lakini ikapigwa kalenda na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...