Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YAFANYA MABADILIKO YA KATIBA YAO

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga SC, Yusuf Manji akiwasili eneo la mkutano katika Ukumbi wa Police Officer's Mess, Oysterbay jijini Dar. Manji akihojiwa na wanahabari.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama Yanga wapinga mabadiliko ya katiba

WANACHAMA wa Yanga wameibuka na kupinga uongozi wao kufanya mabadiliko ya katiba bila kuwashirikisha. Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya wanachama wenzake, Ally Kamtande, alisema suala la kubadilisha...

 

9 years ago

Habarileo

Kilimani yafanya mabadiliko makubwa

KLABU ya soka ya Kilimani City imefanya mabadiliko katika maeneo matatu ya timu hiyo ikiwa na lengo la kuweka maboresho.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA SC YAFANYA KWELI MOROGORO

Na Bertha Lumala, MorogoroBao pekee la mshambuliaji Danny Mrwanda limeizindua Yanga SC na kuipa ushindi wa tano msimu huu katika mechi pekee ya leo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Polisi Moro iliyochezwa Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
Mrwanda alifunga bao hilo dakika ya 42 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Tony Kavishe wa Polisi Moro kufuatia shuti kali la krosi ya beki wa pembeni kulia Juma Abdul.Hilo ni bao la tano kwa Mrwanda baada ya kufunga pia mabao manne katika...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA KUFURU TAIFA

TIMU ya Yanga SC leo imefanya kufuru baada ya kuishushia kichapo cha bao 7-0 timu ya Komorozine ya Comoro kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam! Mabao ya Yanga yamewekwa kimiani na Mrisho Ngassa dakika 13, 65 na 68, Didier Kavumbagu dakika ya 58 na 81, Nadir Cannavaro dakika ya 20 na Hamis Kiiza aliyefunga dakika ya 59. ...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA, YAIGONGA PRISONS 5 - 0

Kikosi cha timu ya Yanga SC kilichoanza dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya leo. Kikosi cha Prisons kilichokula 5-0 leo taifa.…

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1

Mrisho Ngasa (kulia) na Frank Domayo wakishangilia ushindi wa leo. Didier Kavumbagu wa Yanga akijaribu kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.…

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa

Mkurugenzi wa Utetezi, Maboresho na Sheria wa LHRC, Harold SungusiaKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani