Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
‘Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ina kasoro’
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mjumbe alia na sheria ya mabadiliko ya Katiba
KITENDO cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kuwapa nafasi kubwa wabunge wa jamhuri ya muungano na wale wa Serikali ya Zanzibar kushiriki kama wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imechangia...
11 years ago
Habarileo29 Apr
Sheria Mabadiliko ya Katiba kaa la moto
HOFU ya kutopatikana kwa Katiba mpya, baada ya changamoto zilizojitokeza wakati wa awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu la Katiba, sasa ni dhahiri. Hofu hiyo inaonekana katika mahojiano maalumu kati ya waandishi wa gazeti hili na Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahaya Khamis Hamad.
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
JK ataka mabadiliko sheria ya manunuzi
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete.
Na Mwandishi wetu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete amesema lazima mabadiliko ya kina yafanyike katika idara ya ununuzi wa umma ili kudhibiti kiwango cha rushwa kinachoigharimu serikali
Rais Kikwete amebainisha hayo wiki iliyopita jijini Mwanza katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika nchi za Umoja Wa Kusini Mwa Afrika ,SADC ambapo...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Bodi yalilia mabadiliko Sheria ya Ununuzi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...
11 years ago
Habarileo16 May
Mabadiliko Sheria ya Ununuzi yalinda maslahi ya taifa
MIKATABA isiyo na maslahi kwa taifa imedhibitiwa kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko yaliyofanyika katika Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011; Bunge limeelezwa jana.